Utiaji saini Mkataba wa Tanzania na DP World: Mkataba utakuwa wa miaka 30 na utendaji kazi wake utapimwa kila baada ya miaka 5 na sio miaka 100
...President Samia, while cloaked in an honorobly religious hijab, continues at her role of leading the activities of a transnational criminal enterprise.
Hicho kizungu chako cha ugoko hakinisumbui kitu. Ni ujinga tu na kutokujielewa😁😁😁
 
Za ndani ndani zinasema baada ya serikali kutaka kufanya uwekezaji bandari kwa ushirika na DP-World, kanisa katoliki lilitoa onyo kali juu ya vipengere kadhaa vya mkataba baada ya purukushani hiyo serikali iliamua kukaa meza moja na kanisa

Habari za ndani zinasema baada ya ubishani kati ya TEC na serikali maridhiano yalifikiwa kwamba wanasheria wa kanisa na serikali washirikiane pamoja katika kurekebisha vipengere muhimu, baada ya hapo wakakubaliana sasa uwekezaji uendelee.
Endeleeni kujifariji enyi wagalatia msio na akili hakika aliyewaroga kafa, kanisa lilipinga mkataba kabisa kwa kigezo bandari iongozwe na watz sasa kilichozingatiwa ni kipi? Msijizime data
 
Za ndani ndani zinasema baada ya serikali kutaka kufanya uwekezaji bandari kwa ushirika na DP-World, kanisa katoliki lilitoa onyo kali juu ya vipengere kadhaa vya mkataba baada ya purukushani hiyo serikali iliamua kukaa meza moja na kanisa

Habari za ndani zinasema baada ya ubishani kati ya TEC na serikali maridhiano yalifikiwa kwamba wanasheria wa kanisa na serikali washirikiane pamoja katika kurekebisha vipengere muhimu, baada ya hapo wakakubaliana sasa uwekezaji uendelee.
sio hoja za tec tu,serikali ilizingatia hoja muhimu za wadau wote,kwa kadri inavyowezekana
 
Wamebadirisha vipengere vyote tata…
1. Mkataba maximum miaka 30
2. Watalipa kodi zote za Serikali kwa mujibu wa Sheria
3. Wamewekewa performance key indicators na watakuwa accessed kila baada ya miaka 5
4. Serikali itachukua 60% ya mapato au faida
5. Serikali inauwezo wa kuvunja mkataba muda wowote
6. Mkataba huu sio wa gati zote za Bandari ya Dar es Salaam gati ambazo hazipo kwenye mkataba huu zinatafutiwa Mwekezaji mwingine (hata kuwa DP World)
7. Mkataba huu hauhusishi Bandari yoyote mwambao Bahari ya Hindi wala maziwa makuu.

*Hongera TEC kwa msimamo wenu pia Wanaharakati wote, na pengine Executive #1 alipoenda kumuona Mhashamu Kadnali pale Tabora alimpa brief kuwa TUMEZINGATIA.
Safi sana
Hii iwe indicator kwa Bunge letu.
Liache kuwa rubber-stamp ya serikali.
Na kuishia kupiga makofi tu mswada ukiwekwa mezani.

Asante kwa Watanzania wote mliopinga ule mkataba wa awali, mlionesha Uzalendo wa Nchi yenu na kwa Vizazi vinavyo.
 
Wamebadirisha vipengere vyote tata…
1. Mkataba maximum miaka 30
2. Watalipa kodi zote za Serikali kwa mujibu wa Sheria
3. Wamewekewa performance key indicators na watakuwa accessed kila baada ya miaka 5
4. Serikali itachukua 60% ya mapato au faida
5. Serikali inauwezo wa kuvunja mkataba muda wowote
6. Mkataba huu sio wa gati zote za Bandari ya Dar es Salaam gati ambazo hazipo kwenye mkataba huu zinatafutiwa Mwekezaji mwingine (hata kuwa DP World)
7. Mkataba huu hauhusishi Bandari yoyote mwambao Bahari ya Hindi wala maziwa makuu.

*Hongera TEC kwa msimamo wenu pia Wanaharakati wote, na pengine Executive #1 alipoenda kumuona Mhashamu Kadnali pale Tabora alimpa brief kuwa TUMEZINGATIA.
Very Good.
 
Wamebadirisha vipengere vyote tata…
1. Mkataba maximum miaka 30
2. Watalipa kodi zote za Serikali kwa mujibu wa Sheria
3. Wamewekewa performance key indicators na watakuwa accessed kila baada ya miaka 5
4. Serikali itachukua 60% ya mapato au faida
5. Serikali inauwezo wa kuvunja mkataba muda wowote
6. Mkataba huu sio wa gati zote za Bandari ya Dar es Salaam gati ambazo hazipo kwenye mkataba huu zinatafutiwa Mwekezaji mwingine (hata kuwa DP World)
7. Mkataba huu hauhusishi Bandari yoyote mwambao Bahari ya Hindi wala maziwa makuu.

*Hongera TEC kwa msimamo wenu pia Wanaharakati wote, na pengine Executive #1 alipoenda kumuona Mhashamu Kadnali pale Tabora alimpa brief kuwa TUMEZINGATIA.
Mlikua na wenge tu hakuna mikataba yeyote iliyosainiwa tofauti na hii ya jana.
 
Mlikua na wenge tu hakuna mikataba yeyote iliyosainiwa tofauti na hii ya jana.
Lakini hii ya jana sio ile iliyopelekwa bungeni au kuwa inatetewa na wapambe kama Kitila, Silaa na hata Spika nk.
Mabadiliko haya ni kukubali kushindwa kwao
 
Ukiitwa mhuni utabaki kua mhuni kma wenzio
Eeh et tanzania itakua na haki ya kudai kodi🤪🤪🤪 lakini hapa hatuambiwi kwa sheria ipi na kanuni ipi nchi kama nchi itachukua kodi kwa sheria ipi na kanuni zipiiiii
Kaa kimya nyumba yako tu imekushinda utayaweza yamikataba?uaunataka tuseme yote?
 
Za ndani ndani zinasema baada ya serikali kutaka kufanya uwekezaji bandari kwa ushirika na DP-World, kanisa katoliki lilitoa onyo kali juu ya vipengere kadhaa vya mkataba baada ya purukushani hiyo serikali iliamua kukaa meza moja na kanisa

Habari za ndani zinasema baada ya ubishani kati ya TEC na serikali maridhiano yalifikiwa kwamba wanasheria wa kanisa na serikali washirikiane pamoja katika kurekebisha vipengere muhimu, baada ya hapo wakakubaliana sasa uwekezaji uendelee.
Sasa siungetaja hivyo kipengele? Au umekurupuka kuharisha porini?
 
Za ndani ndani zinasema baada ya serikali kutaka kufanya uwekezaji bandari kwa ushirika na DP-World, kanisa katoliki lilitoa onyo kali juu ya vipengere kadhaa vya mkataba baada ya purukushani hiyo serikali iliamua kukaa meza moja na kanisa

Habari za ndani zinasema baada ya ubishani kati ya TEC na serikali maridhiano yalifikiwa kwamba wanasheria wa kanisa na serikali washirikiane pamoja katika kurekebisha vipengere muhimu, baada ya hapo wakakubaliana sasa uwekezaji uendelee.
Mnajifariji tu baada ya kua mmedharauliwa, Tec mnaipa umuhimu isiokua nao, umuhimu wa Tec ni makanisani mbele ya Serikali ni raia tu kama raia wengine.
 
Za ndani ndani zinasema baada ya serikali kutaka kufanya uwekezaji bandari kwa ushirika na DP-World, kanisa katoliki lilitoa onyo kali juu ya vipengere kadhaa vya mkataba baada ya purukushani hiyo serikali iliamua kukaa meza moja na kanisa

Habari za ndani zinasema baada ya ubishani kati ya TEC na serikali maridhiano yalifikiwa kwamba wanasheria wa kanisa na serikali washirikiane pamoja katika kurekebisha vipengere muhimu, baada ya hapo wakakubaliana sasa uwekezaji uendelee.
We akiliyako namawazo yako unafikiri ukikaa kimya bila kujuwa mshindi unahisi kanisa kanisa limepuuzwa hivyoitaoneka halina ushawishi nchini nakulitanguliza mbele wanasheria wakanisa ndiowaliofanya vile navile.tukwambie jopo lilikuwa kubwa kilawadau wamewakilishwa mwisho wasiku serekali imekamilisha mambo iliyoyataka ilimaendeleo yapatikane.
 
Kwa mtu kama wewe, hata alama zilizo wazi huwezi kuziona. Ni lini TEC walihitaji hongo ya Tsh100 milioni, na mengi mengine yanayofanywa kujikosha.

Hata hivyo, huyu mleta mada hata hadithi za uongo hana uwezo wa kuzitunga ili watu wajinga jinga waweze kudhani kuna ukweli ndani ya hadithi zenyewe!
Imetoka hiyo
 
Japo mrisho mpoto alijaribu kuchafua press ya watu kwa usaanii duni wa uchochezi japo kuna uelekeo wa ukweli.

Eti anasema wale wa mwanzo kabisa kukupinga kwa nguvu zote kuhusu mkataba huu leo hii nao wapo hapa kushuhudia mkataba huu ukisainiwa 🤔
Mrisho kaongea ukweli au uongo?
 
Umeonyeshwa huo mkataba??na umeshuhudia ya kuwa vipengele vilivyo ainishwa vyenye utata vimerekebishwa??au Una leta stori za kwenye gazeti la Raia Mwema??
 
"Wamebadirisha vipengere"="Wamebadilisha Vipengele",,alafu hayo mabadiliko umeyaona au wanakondoo mnafuata upeo wa Baraza njaa la hao maaskofu!!
 
MABORESHO YA MKATABA
Wamebadilisha vipengere vyote tata…

1. Mkataba maximum miaka 30

2. Watalipa kodi zote za Serikali kwa mujibu wa Sheria

3. Wamewekewa performance key indicators na watakuwa accessed kila baada ya miaka 5

4. Serikali itachukua 60% ya mapato ya faida

5. Serikali inauwezo wa kuvunja mkataba muda wowote

6. Mkataba huu sio wa gati zote za Bandari ya Dar es Salaam gati ambazo hazipo kwenye mkataba huu zinatafutiwa Mwekezaji mwingine (hata huyu wa sasa)
Umeuona huo mkataba??
 
Back
Top Bottom