Thanks, we are waiting for the updates.
Ila huku Nyerere Road kuna movement ya magari ya polisi, to-and-from JNIA, sijui ni kawaida kwa barabara hii?
Hivyo ni vitisho vinaanza kuogopesha raia wasifike uwanjani.
Hivyo ni vitisho vinaanza kuogopesha raia wasifike uwanjani.
Tuna Kuja kwa mamia kumpokea Rais mtarajiwa
Za kuambiwa changanya na zako mkuu maana huyu ni mtanzania kama nyinyiNasie tunajiandaa hapa na zana zetu..kila mtu anapata maelekezo lakin mioyoni mwetu hatuna ugomvi nae
Pamoja sana mkuuTuna Kuja kwa mamia kumpokea Rais mtarajiwa
Sura Zimekaa Kisharishari........Bila shaka BBC, Aljazeera, CNN, VOA na vyombo vingine vya kimataifa vitakuwepo hapo uwanjani.
Makamanda katika picha wakielekea airport:
View attachment 1518252
Mbowe amewasili hapo uwanjani?
Au ndiyo mnataka kututumia sisi akina kajamba nani ili tukung'utwe na wazee wa vibaka vyekundi ili kutangaza jina la chama
Cha kwanza akitua lazima aisifie Airport yangu kuwa ni nzuri kushinda ya beberu la sivyo abaki hukohuko angani.
Lisu ajihadhari sana na Mbowe, Lema, Halima Mdee na Ester Bulaya, hawa ndio walimpigia kura ya HAPANA hafai kuwa mgombea urais,wanamtaka Nyalandu, ujio wake umewakasirisha wanaweza kumdhuru, asipokee maji ya kunywa, chakula wala kushikana nao mikono
He seems either to be tired or worried of what may be ahead, its normal everybody angekuwa na pressure
Nyie si ndiyo mliyokuwa mking'ang'ania lock down!! Au covid19 imeisha!!
Polisi wamezuia hiyo mikusanyiko isiyo na kibali. Mkikusanyika ni kutotii amri ya polisi hivyo kipigo cha mbwa mwizi ni halali yenu
Ule mkusanyiko wa kumuaga MFITINI wa Wazanzibari huko uwanja wa Taifa unakibali cha mapolisi-CCM? Acha bange Mkuu.Nyie si ndiyo mliyokuwa mking'ang'ania lock down!! Au covid19 imeisha!!
Polisi wamezuia hiyo mikusanyiko isiyo na kibali. Mkikusanyika ni kutotii amri ya polisi hivyo kipigo cha mbwa mwizi ni halali yenu
Akupe kinachojili wakati yuko nyumbani kwake tena chumbani akiwa amelala!!
Muda huu naamini watesaji wake hata mate hayamezeki zaidi ya kusonya sonya tu