Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020
Habari wadau

Mh Tundu Lissu kila siku anazidi kujiweka mbali na Serikali ya Tanzania na sijui kwanini hajirekebishi.

Leo wakati amewasili katika ofisi za chama wakati anaongea na waandishi wa habari kasema kuwa

Namnukuu ''Nawapo Pole CCM kwa kuondokewa na Rais wao aliyekuwepo madarakani kwa miaka kumi na kusema kuwa kesho ataenda kutoa pole kwani msiba siyo wa Magufuli peke yake''

Ukiangalia maneno yake hii inaonesha wazi kabisa kuwa yeye binafsi Marehemu hakumtambua kama Rais wa Tanzania ila Rais wa CCM

Pili Tundu Lissu hawezi kufanya mkutano bila kumtaja Rais John Pombe Magufuli tena kwa lugha zenye ukakasi na zenye kuonesha chuki ndani yake

Ningependa kumkumbusha Tundu Lissu kuwa huu msiba sio wa CCM ni Msiba wa Taifa na Kama hamtambui Marehemu Kama Rais wa TANZANIA Basi hatakiwi kwenda hata kumuona Sababu Ile itakuwa shughuli ya CCM na yeye ni Chadema Haimuhusu.
Tuliza kende wewe, Kesho tunakuja hapo Uhuru stadium, tutamuaga huyo marehemu wenu
 
Wala hoja yako sio Corona, bali idadi iliyojitokeza kumpokea Lissu bila vurugu. Imebidi uje na huu uzi wa kupoza machungu. Ww si ndio ulileta uzi wa vitisho vya kijinga jana?
Katika hii mada ni kipi ambacho si cha kweli mkuu?
 
Sindano imekuingia vyema wewe
Habari wadau

Mh Tundu Lissu kila siku anazidi kujiweka mbali na Serikali ya Tanzania na sijui kwanini hajirekebishi.

Leo wakati amewasili katika ofisi za chama wakati anaongea na waandishi wa habari kasema kuwa

Namnukuu ''Nawapo Pole CCM kwa kuondokewa na Rais wao aliyekuwepo madarakani kwa miaka kumi na kusema kuwa kesho ataenda kutoa pole kwani msiba siyo wa Magufuli peke yake''

Ukiangalia maneno yake hii inaonesha wazi kabisa kuwa yeye binafsi Marehemu hakumtambua kama Rais wa Tanzania ila Rais wa CCM

Pili Tundu Lissu hawezi kufanya mkutano bila kumtaja Rais John Pombe Magufuli tena kwa lugha zenye ukakasi na zenye kuonesha chuki ndani yake

Ningependa kumkumbusha Tundu Lissu kuwa huu msiba sio wa CCM ni Msiba wa Taifa na Kama hamtambui Marehemu Kama Rais wa TANZANIA Basi hatakiwi kwenda hata kumuona Sababu Ile itakuwa shughuli ya CCM na yeye ni Chadema Haimuhusu.
tapatalk_1492528511516.jpeg
 
Lile shangwe tu limetosha mbona BBC na Al-Jazeera wanasema he deserves to be a president
Kwa hiyo bbc na aljezeera wakisema na wewe unatik kabisa...huu utumwa wa akili utu uzimani ni aibu kwa familia yako
 
Kichaa chako kitapona tu
Habari wadau

Mh Tundu Lissu kila siku anazidi kujiweka mbali na Serikali ya Tanzania na sijui kwanini hajirekebishi.

Leo wakati amewasili katika ofisi za chama wakati anaongea na waandishi wa habari kasema kuwa

Namnukuu ''Nawapo Pole CCM kwa kuondokewa na Rais wao aliyekuwepo madarakani kwa miaka kumi na kusema kuwa kesho ataenda kutoa pole kwani msiba siyo wa Magufuli peke yake''

Ukiangalia maneno yake hii inaonesha wazi kabisa kuwa yeye binafsi Marehemu hakumtambua kama Rais wa Tanzania ila Rais wa CCM

Pili Tundu Lissu hawezi kufanya mkutano bila kumtaja Rais John Pombe Magufuli tena kwa lugha zenye ukakasi na zenye kuonesha chuki ndani yake

Ningependa kumkumbusha Tundu Lissu kuwa huu msiba sio wa CCM ni Msiba wa Taifa na Kama hamtambui Marehemu Kama Rais wa TANZANIA Basi hatakiwi kwenda hata kumuona Sababu Ile itakuwa shughuli ya CCM na yeye ni Chadema Haimuhusu.
 
Acha kumlisha maneno Lissu, nimesikiliza hotuba nzima
Baadae amesema licha ya kuwa BWM alikuwa mwenyekiti wa CCM, alikuwa rais wetu, kwahiyo huu ni msiba wetu wote!. akakumbusha kuwa ndiye rais wa kwanza wa kipindi cha vyama vingi, na akamsifu kuwa ukiacha mapungufu machache ya kibinadamu alikuwa na nafuu kwenye kudeal na wapinzani kuliko utawala wa awamu hii ya tano.

Kwa hiyo akasema, hana budi kwenda kutoa heshima yake kwa raisi wetu huyo wa awamu ya Tatu.

Mleta mada hebu ona aibu usilishe watu maneno

Hiyo video nzima ipo kwenye ukurasa wa facebook wa BBCSwahili unaweza kusearch face ukaona alichokisema chote!
 
Haya hatutasema juu ya corona, kijoa then kalale
Tangu Janga la Corona lianze Wapinzani wote Tanzania wakiongozwa na CHADEMA walikuwa wakibeza na kupinga kila hatua iliyokuwa ikichukuliwa na serikali kwenye kupambana na Corona. Mh Mbowe yeye alienda mbali zaidi akadai Kuna mamia ya watu wanakufa na kuzikwa usiku huku hospital kama Amana na Mloganzila zikiwa zimefurika wagonjwa.
Hawakukubaliana na Chochote kwenye Mapambano dhidi ya Corona badala yake walikuwa wakisifia mataifa jirani huku wakidai serikali ya Tanzania imeamua kuua watu wake makusudi kwa Corona hadi ikafikia hatua wakasusia bunge.

Sasa leo ni ajabu watu hawa wanao amini kuwa kuna mamia ya watu wanakufa kwa Corona Tanzania wanafanya mikusanyiko tena bila tahadhari yoyote.
View attachment 1518743
View attachment 1518745View attachment 1518747View attachment 1518748

Huyu nae alikuja akiwa amevaa barakoa ila alipofika JNIA akaivua
Inamaana ameivua kwasababu anajua amefika sehemu salama.
View attachment 1518752

View attachment 1518756
View attachment 1518758

Kwa hali hii tukiwaita wanafiki wala hatutakuwa tumekosea.
 
Mataga wamepigwa sindano ya ganzi baada ya watu wengi sana kujitokeza kumpokea mh Lissu.

Waliamini kabisa kuwa watu watakataa kwenda maana maccm wanajidanganya kuwa cdm imekufa.
Acha kupotosha, ukipotosha inakusaidia Nini?? Kawapa pole CCM kwa kupoteza Mkiti wa chama chao wa Miaka kumi.
 
Huyu hasikubabaishe,anatafuta kiki kwa lazima kwa ushauri wangu kwa rais hasishughulike nae hata kidogo mpaka siku ya kesi yake itakapotajwa ili awajibike kwa kutoroka baada ya kudhaminiwa sheria inataka agende jela miezi mitatu.
Nguruwe bhana Mara ooh atakamatwa airport ujinga mtupu gutuka wenxio polis waneona ujinga kutumiwa kana toilet paper
 
Eti wazungu washenzi, wakati kila siku mnawapelekea bakuli lenu kuwapigia magoti
Msitetemeke na maneno ya hiyo muhaini wa nchi, MUNGU anamuona na atamhukumu vile vile,chuki zake ni uchu wa madaraka na kwa sasa atasema lolote ilmradi wazungu washenzi wamsikie na kumsifia
 
Huyu hasikubabaishe,anatafuta kiki kwa lazima kwa ushauri wangu kwa rais hasishughulike nae hata kidogo mpaka siku ya kesi yake itakapotajwa ili awajibike kwa kutoroka baada ya kudhaminiwa sheria inataka agende jela miezi mitatu.
Lazima mtage mayai safari hii
 
Back
Top Bottom