Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku moja Tuwapasue mkuuhawa watu hawanaga tofaut na policc,, ni vile tu policc wanadili na raia moja kwa moja ndo mana wanaonekanaga wakosaji daily
lkn hawa wanajionaga miungu watu sana
Hutaki tuamini maneno yake, ila unataka tuamini maneno yako kwamba dogo ndio mwenye makosa, unatumia kiungo gani kufikiri?Kwa nini hakurekodi wakati anachomekewa?
Kwa nini uamini maneno yake wakati hujaona akiwa anachomekewa?
Alikubalije kupeleka gari ndani?
Mjomba ake mbunge atamtoa tu.....
Mbona wewe unatuambia dogo ndio mwenye makosa? Umesikiliza upande wa pili? Upande wa pili ni upi? Hebu tuletee na sisi tusikilize.Siwezi kuamini maneno ya upande mmoja bila uthibitisho!
Unachofanya wewe ni kuhukumu kesi kwa kusikiliza upande mmoja
Ni ibara ipi imefanyiwa hayo marekebisho mkuuSi kweli, kwa mujibu wa katiba ya Tanzania ya 1977 iliyofanyiwa marekebisho 2006 usalama wa barabarani ni wajibu wa kila Mtu isipokuwa mamlaka ya kusimamia sheria wamepewa POLISI.
dawa ni kuwaotesha busha
Amekariri kwenye movie basement ni Chini kule hajui hyo centre ipo kama nini. Huyo suka amewaponza wenzakeKenge usiye na mkia hutonielewa kaa kimya
Kuna sheria inalazimisha kurekodi ukichomekewa gari?Kwa nini hakurekodi wakati anachomekewa?
Kwa nini uamini maneno yake wakati hujaona akiwa anachomekewa?
Pale hata unapopita barabarani usawa wa lile geti tu ukiangalia upande ule wao unawaona walinzi walipokaa... sasa tofauti ni nini?Ukiangalia vizuri hiyo video utaona kabisa video imepigwa ndani inaonyesha mlinzi yuko wapi, kuna walinzi wangapi getini vitu ambavyo havionekani Google maps.
[emoji3][emoji3][emoji3]dawa ni kuwaotesha busha
Nafikiri kuna zaidi ya hii story. Kama amechomekewa tu sioni kwa nini asimamishwe tena inawezekana baada ya hapo kuna kilichotokea ambacho mjomba wa mbunge hakisemi.Dogo kajitahidi kujisimamia sana. Kwa hakika hakuwa na namna nyingine ya kutafuta faraja.
Nimeuliza kifungu cha sheria sio maelezo..jikite kwenye sheria na kifungu mkuuSehemu iliandikwa hauruhusiwi kupiga picha iyo ni amri na sheria
Nenda kachukue video Lugano military base Au ikulu alafu rudi hapa useme walikufanya nini