Wanajeshi kwa waliohusika na tukio hili wawajibishwe
Watu hawatoacha kujichukulia sheria mikononi endapo uonevu huu utaendelea,eti paki gari pale Mimi sipaki nalizima nakaa hapo hapo.

huwezi kuja kusimama mbele yangu wakati naendesha halafu ushuke uniambie paki pale na manguo yako ya kiraia.

kisa tu umenyoa una kipara ndio nijiongeze au kisa umevaa kaunda suti ndio nijiongeze,yani nisingeweka gari pembeni na hapo hapo ningezima gari,mpaka nione traffic ndio ningetoa gari kuweka pembeni.

Hii nchi sio ya usalama wa TAIFA kama kaona sawa kuchomeka mbele yangu na kusimamisha gari ndio staili mpya ya kusimamishana hapo sawa. Lakini dogo kuwekwa pembeni na kukubali na raia asie na uniform n uzembe na uoga na kutojiamini.
 
Hii Tabia ya kuonea raia kisa tu ofisa wa usalama wa Taifa kakwaruzana na waendesha magari barabarani inatoka wapi?
Hii inaonyesha kuwa tuna Usalama wa Taifa incompentent, wasiojua kazi zao, ambao wanatumia nafasi zao kuonea watu.

Ni wapi katika majukumu ya usalama wa Taifa, Usalama wa Taifa unafanya kazi za Trafiki barabarani?

Leo hii ofisi na premise za usalama wa Taifa zinaenda kutumika kama parking ya kukamatia raia eti kisa raia kakwaruzana na ofisa mmoja huko barabarani ni ushamba wa hali ya juu na ni kuipaka Idara matope.

Tunataka Idara ya Usalama wa Taifa TISS imchukulie hatua za kinidhamu huyo ofisa anayeonekana kuleta kiburi kwa kutumia kazi yake kuonea watu.

Kibaya zaidi anaamrisha raia anyang'anywe simu yake bila search warrant au bila kufuata sheria za kipolisi, huu kama siyo ujambazi ni nini.

Huu utovu wa nidhamu ukomeshwe mara moja, hatutaki usalama wa Taifa unaoendeshwa kihuni.

View attachment 2182358
Hao ndio wale waliokuwa wanatumiwa na Magufuli kufanya uharamia maeneo mbalimbali nchini.
 
Hii Tabia ya kuonea raia kisa tu ofisa wa usalama wa Taifa kakwaruzana na waendesha magari barabarani inatoka wapi?
Hii inaonyesha kuwa tuna Usalama wa Taifa incompentent, wasiojua kazi zao, ambao wanatumia nafasi zao kuonea watu.

Ni wapi katika majukumu ya usalama wa Taifa, Usalama wa Taifa unafanya kazi za Trafiki barabarani?

Leo hii ofisi na premise za usalama wa Taifa zinaenda kutumika kama parking ya kukamatia raia eti kisa raia kakwaruzana na ofisa mmoja huko barabarani ni ushamba wa hali ya juu na ni kuipaka Idara matope.

Tunataka Idara ya Usalama wa Taifa TISS imchukulie hatua za kinidhamu huyo ofisa anayeonekana kuleta kiburi kwa kutumia kazi yake kuonea watu.

Kibaya zaidi anaamrisha raia anyang'anywe simu yake bila search warrant au bila kufuata sheria za kipolisi, huu kama siyo ujambazi ni nini.

Huu utovu wa nidhamu ukomeshwe mara moja, hatutaki usalama wa Taifa unaoendeshwa kihuni.

View attachment 2182358
Hawana Shughuli za kufanya baada ya mwendazake kuondoka.kazi iliyokuwepo ni kudeal na wapinzani.Samia hataki kusumbuana na wapinzani kwa hiyo utaona hawana kazi yoyote hivyo kukaa idols siku nzima.Ndio wanatafutiza kazi za kujishikiza ili kumshtua mama kuwa nao wapo kazini.
 
View attachment 2182518ated

Waafrica bwana yaani kupiga picha au ku record of za usalama ni issue.

Hizo hapo ofisi za MI6 katika ya jiji busy road na kuna pedestrian pathway pembeni ya ukuta kabisa.

Mbele kuna mto, boat la watalii na mabasi ya watalii yakipita hapo tour guide wanawaambia kabisa ile pale ofisi ya MI6 jumlisha na daraja la train mbele.

Embu tuwe serious on what is national security.
Afrika tunayo nidhamu ya kutishana na kuitiana woga. Picha za aerial view mfano google maps ni hatarishi kiusalama zaidi hizo picha za simu ya mkononi. Some security precautions are simply outdated.
 
Makosa yanaweza kutokea pande zote hao ndugu zetu katika medani ila hata huyo bwana na ist yake ni wale wale tu,pale aliposema mjomba wangu mbunge atanitoa nikaona baasi huyu ni aina ya wale watu wasumbufu hadi mtaani kisa tu anajuana na fulani kisa tu yeye fulani kisa tu ana watu fulani ikumbukwe kuna wakati mpaka uwapate hao watu wa kukusaidia ushachakaa vibaya mno huyo bwana ist nae wale wale
 
Nafikiri kuna zaidi ya hii story. Kama amechomekewa tu sioni kwa nini asimamishwe tena inawezekana baada ya hapo kuna kilichotokea ambacho mjomba wa mbunge hakisemi.

Kama kuna kingine mjomba asingekuwa cool hivyo. Isitoshe kwa sauti hata maneno tu anaonekana ni dogo kweli kweli.

Hakujaribu kukimbia wala kukaidi. Tambua mnene yule alikuwa mbele muda mrefu na hata lane nyingine pia.

Ila jamaa zetu hawa si ajabu akashtakiwa kwa ugaidi na miamala ya simu ikapatikana.
 
Usibishe. Iliwahi kunitokea. Mi nimesimama kwenye taa nyekundu. Nasubiri ya kijani. Nyuma kuna roli liko kwenye mwendo. Dereva hana mpango wa kusimama. Alivyofika tu kwenye taa, zikabadilika zikawa kijani. Na mimi nikaondoa gari. Najua mimi ndio wa kwanza mbele kwa wale tuliokuwa kwenye mstari wa kusibiri taa za kijani. Alipopita taa, akabadili njia. Akatoka kushoto kwake akaja kwangu kulia, akanibana kabisa nikakosa njia. Nikasisima ghafla. Matairi ya nyuma ya roli lake yakanikosakosa by inches. Akaendelea kama vile hajafanya kitu chochote. Ningekuwa na bunduki na mimi siku hiyo ningeua mtu.
Uko sahihi.
Kwasababu anasema taa zimemruhusu, sasa zilimruhusu yeye mwenyewe??

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kwa mara nyingine,tuonyesheni umoja na mshikamano katka hili hata kama wengine halituhusu ila ifike MAHALI Jamii Forum iogopwe.

Tupaze sauti,Hili tukio lifike linapostahili kufika na wenye connection watuletee mrejesho,mimi kazi yangu nikutia NUKTA uzi upande hewani kila nitakapohisi umepooza.

Huna cha ku comment tia NUKTA uzi upae hewani hadi hao waliohusika hapo kila mtu apewe stahiki zake na iwe mwanzo na mwisho huu uonevu,Tukiamua wananchi sisi kwa sisi inawezekana.

Hamna cha katiba mpya hapa Maamuzi ni yetu wenyewe tuamueni TU.
 
Back
Top Bottom