Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MakirikiriUnyanyasaji huu wa vyombo vya dola haukubaliki.
View attachment 2182373
Kwanini sheria za nchi zilizopo hazifuatwi?
Kwa hakika tuungane kuukataa ubazazi wa namna hii.
Jamaa mwenyewe pia ni walewale, akipata nafasi naye anaweza umiza watu. Mwishoni anasikika ati mjomba wake ni mbunge, atamtoa tu.Hii Tabia ya kuonea raia kisa tu ofisa wa usalama wa Taifa kakwaruzana na waendesha magari barabarani inatoka wapi?
Hii inaonyesha kuwa tuna Usalama wa Taifa incompentent, wasiojua kazi zao, ambao wanatumia nafasi zao kuonea watu.
Ni wapi katika majukumu ya usalama wa Taifa, Usalama wa Taifa unafanya kazi za Trafiki barabarani?
Leo hii ofisi na premise za usalama wa Taifa zinaenda kutumika kama parking ya kukamatia raia eti kisa raia kakwaruzana na ofisa mmoja huko barabarani ni ushamba wa hali ya juu na ni kuipaka Idara matope.
Tunataka Idara ya Usalama wa Taifa TISS imchukulie hatua za kinidhamu huyo ofisa anayeonekana kuleta kiburi kwa kutumia kazi yake kuonea watu.
Kibaya zaidi anaamrisha raia anyang'anywe simu yake bila search warrant au bila kufuata sheria za kipolisi, huu kama siyo ujambazi ni nini.
Huu utovu wa nidhamu ukomeshwe mara moja, hatutaki usalama wa Taifa unaoendeshwa kihuni.
View attachment 2182358
Salute mingi.....excellent!!!!!!Kaka ninakupongeza kwa kuwa SMART na kurekodi. . .ijapokuwa sijapenda uliposema una mjomba wako MBUNGE. Kingune hilo jamaa na askari wenye uniform ni WAJINGA KWELI. Binafsi sio askari na sina mafunzo ya uaskari.....lakini kwa akili ya kawaida walijiweka ktk RISK .....maana jamaa wangekuwa na convoy ya waarifu wangeingia kiurahusi sana na kuleta madhara makubwa humo ndani
TRA ,TBS, TPA, TAA nk sio mihimili ya nchi inayozungumziwa kwenye sheria. Hizo ni taasisi/mashirika ya umma.Rudi shule kasome vizuri uelewe tena ikibidi mpaka Kipara kikuote kichwani.
Sheria iko wazi kabisa kuwa muhimili mmoja haupaswi kuingilia muhimili mwingine kikazi.
Ndiyomaana unaona ofisa TRA hawezi kufanya kazi ya ofisa TBS, na Ofisa TPA hawezi kufanya kazi ya TAA.
Yaah huenda chalii hajapitia ama alh kiumri si mtu mzima sana, hata sauti yake inadhihirisha hilo.Zingatia umri na uzoefu wa dogo kimaisha ...
Kwan kipi kimemfata mwenzie mchukua video au eneo lililochukuliwa video?Ukiangalia vizuri hiyo video utaona kabisa video imepigwa ndani inaonyesha mlinzi yuko wapi, kuna walinzi wangapi getini vitu ambavyo havionekani Google maps.
Kosa kwa mujibu wa sheria gani? Tutajie kifunguKwanza una uhakika gani huyo mtu kaonewa?
Pili clip inaanza kuonesha akilalamika na kuamriwa kupaki gari yake, haioneshi chanzo cha iyo tafrani ni nini? Una uhakika gani kuwa huyo afisa ndo mwenye kosa?
Tatu tangu lini kuambiwa upaki gari kukawa kuonewa?
Nne kupiga picha kwenye eneo ambalo hairuhusiwi kupiga picha Au kuchukua video ni kosa!
Alaf traffic atoe maamuz kwa kuzingatia ushahid upi?Unajuaje kama walitaka kumuhifadhi hapo ili waite traffiki?
Yaah huenda chalii hajapitia ama alh kiumri si mtu mzima sana, hata sauti yake inadhihirisha hilo.
Ila hapo hakutakiwa kusubiri huyo jamaa ashuke angesepa zake ama lah yeye ndie ambae angeanza kushuka labla yake.
Jamaa katumia hiyo nafasi kujitetea yeye na kuaminiwa kabla dogo hajashuka akiami yupo kwenye haki na ana mashahidi.
Dogo anaamini kwenye kutetewa zaidi ya kujitetea yeye mwenyeweUtoto wa dogo umemponza. Utakuta hata leseni hana.
Sema /ulizq "ushamba wetu upo wapi?"Ushamba wao Uko wapi?
Kiusalama ni kosa kubwa sana kuingiza hilo gari la huyo dogo kwenye hiyo ngome...DUNIA IKO MBALI SANAUnajuaje kama walitaka kumuhifadhi hapo ili waite traffiki?
Kwanza gari iliingizwa kwenye ngome ipi?Kiusalama ni kosa kubwa sana kuingiza hilo gari la huyo dogo kwenye hiyo ngome...DUNIA IKO MBALI SANA
Ujasusi ni Bahari kubwa sana na yenye kina Kirefu sana
Rethink
CC Yercko
Sehemu iliandikwa hauruhusiwi kupiga picha iyo ni amri na sheriaKosa kwa mujibu wa sheria gani? Tutajie kifungu
Mfano nchi ipi?Hayo mambo yanafanyika nchi zenye raia wengi wasiojielewa na wenye maisha ya bora liende, hewala hewala.
Kwenye nchi ambazo utawala wa sheria unafanya kazi sawa sawa polisi wa barabarani tu ndio wanahusika kutoa muongozo wa matumizi ya barabara wakati wa hali ya kawaida ya amani kwenye nchi.
Nimesikiliza na kuangalia clip yote sijaona sehemu imetamkwa unajua Mimi nani?Fikiria, kamtoa kwenye mataa (kwa kumfanya kijana amfuate nyuma) hadi hapo kwao, lengo ni nini..?? Probably "hujanijua Mimi ni nani, ngoja nikuonyeshe". Unaweza fikiria kidogo ni umbali gani kutoka walipoanza kutofautiana hadi hapo kwao, kwann hakumzuia huko...?? Acheni ulimbukeni, kila mmoja akiwa hivyo hatutafika
Hujanielewa kile nilichoandika, mimi sijasema huyo mtu katamka hivyo, soma tena utaelewa maana ya kuandika hayo maeneoNimesikiliza na kuangalia clip yote sijaona sehemu imetamkwa unajua Mimi nani?
Alaaaaaa kumbe ndo pale alipofia jamaa mzee meko...
Kama haijatamkwa popote hapo utakuwa unaleta mawazo yako yasiyo na uhalisiaHujanielewa kile nilichoandika, mimi sijasema huyo mtu katamka hivyo, soma tena utaelewa maana ya kuandika hayo maeneo