Mbona vijana mnakuwa wapumbavu na wajinga kiasi hiki cha lami? Do we read kweli sheria?
Hivi unajuwa usalama wa Taifa nieneo hatari kurecord au kufanya chochote?
Unajuwa kwakufanya kosa hilo unaweza kupotea natusikuone mpaka kiama pasipo jali wewe ni mtoto wa nani?
Je unajuwa maeno kadhaa ktk jiji la dsm nihatari hata kupak gari nje?
Je unajuwa call zote na watu wanapita nje ya ofisi za usalama wa Taifa zinakuwa intercepted kutoka mbali sana?
Haya utampigia mjomba wako mbunge... Kwa ujinga na upumbavu wako.
Jamaa asingeweza kufanya reaction kubwa namna hiyo.Kwani wewe unajua je kama dogo aliwatukana?
Jamaa asingeweza kufanya reaction kubwa namna hiyo.
Hapo kuna mawili...
Dogo alileta dharau ya moja kwa moja.
Au jamaa aliamua tu kumkomalia kwasababu ana ki IST
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hakika dogo kaonewa,inakuaje traffic case umtoe mtuhumiwa eneo la tukio hadi hapo tiss!wavaa magwanda wetu na wengine wote wanaojiona wako juu ya sheria wangejifunza kutoka kwa wenzetu kwani hizo nafasi awatokaa milele,wangefikiria new generation zao na zenyewe zitakua kama wao,wenzetu wanajenga maadili ya nchi zao kwa kuangalia future,africa tuko kwenye ujima sana!Ni kweli hawapendi nzi. Hata sasa kuna mmoja nimemwona humu anahaha uwanja mzima habari anayo.
Ni kweli huyu dogo umri na busara huwezi kumtegemea makubwa.
Kibri sidhani, ni umri tu ila kushangazwa atakuwa kashangaa sana. Atakuwa hakujua duniani kuoneana imo.
Sasa atakuwa anajua kumbe magereza walioko kule si wote wahalifu. Pia kwamba kumbe hatuko salama.
Dogo anaomba haki - "unataka kunionea mwanangu?"
Dogo sasa asishangae kukutwa na bangi, madawa ya kulevya au Luger A5340.
Kimsingi dogo angebaki traffic light kule alikochomekewa au mara baada ya kuona hostility. Au angechukua njia yake. Kuishi kwingi kuona mengi. Ayajue je hayo kabla?
Wamemwongoza hadi getini kwao angeweza kuacha kuongozana nao mapema.
Dogo si mshari. Dogo kaonewa.
Unarekodi maeneo ya Usalama?kwanini wamzuie asiwarekodi, mie humo nisingeingia nasiwezi kukubali kuonewa
Kama ni maofisa wa chini chini, hii kitu itawagharimu. Wenyewe hawapendi kuwa kwenye media kwa style hii.Wamekosea nini?
Hii hoja no nzito Sana kwako na Kwa jinsi unavyoijibu ni Kama wewe ndiye huyo tiss muoneaji! Hapo makumbusho kwenye mataa ya kuingia stand ya daladala Kuna kibanda Cha traffic polisi. Kama kweli hawana Nia ovu ni kwanini hawakuwashirikisha polisi waliopo mitaa hamsini kutoka geti lao?Unajuaje kama walitaka kumuhifadhi hapo ili waite traffiki?
Isingekuwa rahisi hivyo.Hao jamaa nao wana risk sana maisha yao. Imagine dogo angeamua liwalo na liwe akaamua kuwagonga hao waliokuwa barabarani?
Makosa ya barabarani adhabu yake inajulikana dogo aadhibiwe kwa kosa lake kama alifanya kweli na hao wazee wa "unanijua mimi nani" wawajibishwe kwa ushamba wao,kosa la barabarani mnamkamata mtu kwa mikwara na ak 47 juu!Huyo dogo anaonekana anakiburi!
It’s obvious yeye ndo alikuwa na makosa
Wewe vipi?Hakuna shida gani ukiambiwa chuchumaa?
Unarekodi maeneo ya Usalama?
Au hakujua kama hapo ni Usalama wa taifa?
Anyway alivyowaona hao wanajeshi kwanini asingezima kamera yake?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hio inakua kesi ingine lakini kesi ya kwanza ni ya matumizi mabaya ya madaraka ya huyo jamaa mwenye panki..tatizo hauzijui haki zako..Ana udhibitisho gani?
Tena wanaweza kumshtaki kwa kupiga picha maeneo ya usalama.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Narudia tena huko barabarani, hujagongwa, hujagonga! Keep ur mouth shut! Endelea na mambo yako!!!Dogo kaongea akiwa calm muda wote.
Hawa ndiyo wale wa unanijua mimi nani?
Kwani ni wageni kwa nani mabazazi hawa?
Nilichanganya baada ya kuwaona hao wanajeshiHapo sio jeshini
Kuna mahali wamesema unanijua mimi ni nani?Makosa ya barabarani adhabu yake inajulikana dogo aadhibiwe kwa kosa lake kama alifanya kweli na hao wazee wa "unanijua mimi nani" wawajibishwe kwa ushamba wao,kosa la barabarani mnamkamata mtu kwa mikwara na ak 47 juu!
Katiba mpya ya Kenya imesababisha waishiwe mafuta ya Petrol.Katiba Mpya mbona mtanyooka tu
Isingekuwa rahisi hivyo.
Labda wawe wazembe kiwango cha kobe.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app