Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
That why kama kosa lilifanyika mwenge au bamaga wakamdirection dogo hadi makumbusho!jamaa makatili sana aisee![emoji3][emoji3] Naona walikuwa favoured na mazingira tu!!
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kwani Katiba ya sasa inaruhusu hayo mambo yawepo ?
Ukamataji unaokiuka sheria, huo nao ni uhalifu.Sheria inaruhusu mtu yeyote kufanya arresting!
Hata wewe unaweza kumu arrest muhalifu akifanya kosa
Mwanazuoni kasema tunachagua watu wa hovyo kisha tunalalamika hovyo, so hata katiba mpya ikitoka peponi haiwezi kukupangia mtu wa kumchagua. Kama mgombea ni wa hovyo atabaki kuwa wa hovyo.Katiba iliyopo inaruhusu watu wa hovyo kujimilikisha nchi.
Wakisha jimilikisha nchi inakuwa kama ndiyo tumewachagua:
View attachment 2182663
Hivyo haya mengine yanafuata mkondo wake kama asemavyo huyo mwanazuoni.
mzee acha kutaka kuonekana nawewe humo, wakati Ni garasaKwa nini hakurekodi wakati anachomekewa?
Kwa nini uamini maneno yake wakati hujaona akiwa anachomekewa?
Sio wanajeshi hao kakaKwanini hao wanajeshi wasinge mtaarifu kuwa hapa haparuhusiwi kupiga picha?
Wao si ndiyo walio mtakatifu kuingia huko? Kwani yeye alikuwa na biashara huko?
Taratibu zao dogo ambaye hakuwa na ugeni huko angezijulia wapi?
PGO yao inasema je?
Sio wanajeshi hao lyamberNilichanganya baada ya kuwaona hao wanajeshi
Mwanazuoni kasema tunachagua watu wa hovyo kisha tunalalamika hovyo, so hata katiba mpya ikitoka peponi haiwezi kukupangia mtu wa kumchagua. Kama mgombea ni wa hovyo atabaki kuwa wa hovyo.
Huyu aliyefungua uzi huu alidhani walikuwa wanajeshi lakini baadaye zilifunguliwa nyuzi nyingi kuhusu hao jamaa na inasemekana walikuwa ni watu wa usalama wa taifa.Hao walikuwa kwenye msafara wa mnadhimu wa jeshi, huyo dogo nadhani utoto ulimsumbua
Sio wanajeshi hao kaka
Ww ni mpumbavu na ni mtaji mkubwa sana kwa Taifa hili kutufikisha hapa kimaisha kwa uchumi mdogo sana duniani ingawa tuna zaidi ya 80% ya kila rasilimali.
Unamkamataje Mtu bila kibali cha mamlaka husika, au huoni umejichukulia hatua mkononi?
Je huyo Mtu akikufia mikononi mwako utajitetea vipi kuwa ulikuwa unamkamata kisheria bila ya vielelezo vyovyote vya sheria husika ya hayo mamlaka?
Katiba ya sasa hairuhusu watu kujimilikisha nchi.Umeweza kusoma nilichoandika au umemsoma mwanazuoni tu?
View attachment 2182686
Rejea bandiko langu lote kwenye hilo tafadhali.
Huyu aliyefungua uzi huu alidhani walikuwa wanajeshi lakini baadaye zilifunguliwa nyuzi nyingi kuhusu hao jamaa na inasemekana walikuwa ni watu wa usalama wa taifa.
Hasira hasara! Jamani tuwe wanyenyekevu hata kama tumedhurumiwa. Dunia imekwisha hii, kila siku ni vifo vya ajabu ajabu kwenye matukio kama haya!Combats tokea upande wa pili na bunduki hakuwa na namna.
Makosa aliyofanya ni pamoja na kuendelea kuifuata kwa nyuma gari ile. Kusubiri nyuma hata iliposimama. Yote akiamini hana makosa.
Hawa jamaa zangu kuna wakati huwa wanafanya mambo kimangimeza sana.Hii Tabia ya kuonea raia kisa tu ofisa wa usalama wa Taifa kakwaruzana na waendesha magari barabarani inatoka wapi?
Hii inaonyesha kuwa tuna Usalama wa Taifa incompentent, wasiojua kazi zao, ambao wanatumia nafasi zao kuonea watu.
Ni wapi katika majukumu ya usalama wa Taifa, Usalama wa Taifa unafanya kazi za Trafiki barabarani?
Leo hii ofisi na premise za usalama wa Taifa zinaenda kutumika kama parking ya kukamatia raia eti kisa raia kakwaruzana na ofisa mmoja huko barabarani ni ushamba wa hali ya juu na ni kuipaka Idara matope.
Tunataka Idara ya Usalama wa Taifa TISS imchukulie hatua za kinidhamu huyo ofisa anayeonekana kuleta kiburi kwa kutumia kazi yake kuonea watu.
Kibaya zaidi anaamrisha raia anyang'anywe simu yake bila search warrant au bila kufuata sheria za kipolisi, huu kama siyo ujambazi ni nini.
Huu utovu wa nidhamu ukomeshwe mara moja, hatutaki usalama wa Taifa unaoendeshwa kihuni.
View attachment 2182358
Katiba ya sasa hairuhusu watu kujimilikisha nchi.
Hata mgambo ni jeshi wote wajeshi hao
Ni kweli usemayo lakini imekuwa ni mazoea linapotajwa jeshi basi watu wengi tumekuwa tukimaanisha Jwtz na wewe unafahamu nafikiri sio hoja ya kuanza kubishana.Hata mgambo ni wajeshi mjomba au wewe magereza au zimamoto siyo?
Wabongo kwenye ubora wetu wajuzi zaidi nyie.
Kazi kweli kweli.
Upo sahihi # freedomNi kweli usemayo lakini imekuwa ni mazoea linapotajwa jeshi basi watu wengi tumekuwa tukimaanisha Jwtz na wewe unafahamu nafikiri sio hoja ya kuanza kubishana.
Wabishi kama hawa uwaga wanakula njugu tu kisha anaandikiwa kesi tu. Bahati yake ana mjomba mbungeHii Tabia ya kuonea raia kisa tu ofisa wa usalama wa Taifa kakwaruzana na waendesha magari barabarani inatoka wapi?
Hii inaonyesha kuwa tuna Usalama wa Taifa incompentent, wasiojua kazi zao, ambao wanatumia nafasi zao kuonea watu.
Ni wapi katika majukumu ya usalama wa Taifa, Usalama wa Taifa unafanya kazi za Trafiki barabarani?
Leo hii ofisi na premise za usalama wa Taifa zinaenda kutumika kama parking ya kukamatia raia eti kisa raia kakwaruzana na ofisa mmoja huko barabarani ni ushamba wa hali ya juu na ni kuipaka Idara matope.
Tunataka Idara ya Usalama wa Taifa TISS imchukulie hatua za kinidhamu huyo ofisa anayeonekana kuleta kiburi kwa kutumia kazi yake kuonea watu.
Kibaya zaidi anaamrisha raia anyang'anywe simu yake bila search warrant au bila kufuata sheria za kipolisi, huu kama siyo ujambazi ni nini.
Huu utovu wa nidhamu ukomeshwe mara moja, hatutaki usalama wa Taifa unaoendeshwa kihuni.
View attachment 2182358