Wanajeshi kwa waliohusika na tukio hili wawajibishwe
Sitazungumzia Sana hili tukio,kwasababu sielewi kisa kizima toka mwanzo.
Ila pia kijana Kama huyu kumuonesha mabunduki ka hayo kwa kosa la barabarani😲,SI SAWA.

NILIZALIWA TANZANIA SIYO KWA KUPENDA,au kujiamulia,hii nchi ni yetu wote tuheshimiane.
 
Na maisha yanasonga vizuri tu Mkuu😄😃
Huvunjiki popote yani, kuepuka un-neccessary fights ni hekima ambayo tumejaaliwa watu wachache mno.

Tunawajua jamaa ni wapenda sifa na katika mizania tu dogo yupo katika risk kubwa kuliko alivyokuwa anadhania. Yani hapo angeweza kufanywa jambo baya tu style ya Akwelina ile sababu ya kuvimba tu kusiko na maana. Nobody cares this time around.
 
Hii nchi ina wajinga wengi sana na ndio wanawapa kichwa watu kama hao.
Kuna sheria inalazimisha kurekodi ukichomekewa gari?

Kwanini usiamini maneno yake unataka uamini nini. Hata kama maneno yake ni uongo, ni sheria gani inasema raia yeyote asimamishe gari barabarani na kuamrisha liingie sehemu anayotaka yeye?
 
Hujamsikia huyo muoga anayepiga kelele mwenzake aombe msamaha tu?!
Makosa yanaweza kutokea pande zote hao ndugu zetu katika medani ila hata huyo bwana na ist yake ni wale wale tu,pale aliposema mjomba wangu mbunge atanitoa nikaona baasi huyu ni aina ya wale watu wasumbufu hadi mtaani kisa tu anajuana na fulani kisa tu yeye fulani kisa tu ana watu fulani ikumbukwe kuna wakati mpaka uwapate hao watu wa kukusaidia ushachakaa vibaya mno huyo bwana ist nae wale wale
 
Tofauti na hayo maneno unayoongea kuwa "amenichomekea" hakuna kinachoonekana , wewe ndio unaonekana mtu wa shari baada ya kufanya kosa unaanza kutoa simu kurekodi, hapo unasema alitaka kukugonga wakati ana park ili aweze kukuhoji kwa ufedhuli ulioufanya
Wangesimama hapo waite askari wa barabarani kweli tungeona kuna haki inataka kutendeka. Lakini mtuhumiwa kuanza kutumia mamlaka yake inaleta walakini mwingi. Kurekodi tukio hakuna sheria inayokataza.
 
Wewe mpumbavu hapo kuna ishara, bango au kibao kinachoonyesha ni eneo laUsalama wa Taifa?
Watu wanachukua video Langley kwa CIA ndio uje kutishia watu na hapo.
Mshamba kweli wewe.
Mbona vijana mnakuwa wapumbavu na wajinga kiasi hiki cha lami? Do we read kweli sheria?
Hivi unajuwa usalama wa Taifa nieneo hatari kurecord au kufanya chochote?
Unajuwa kwakufanya kosa hilo unaweza kupotea natusikuone mpaka kiama pasipo jali wewe ni mtoto wa nani?
Je unajuwa maeno kadhaa ktk jiji la dsm nihatari hata kupak gari nje?
Je unajuwa call zote na watu wanapita nje ya ofisi za usalama wa Taifa zinakuwa intercepted kutoka mbali sana?
Haya utampigia mjomba wako mbunge... Kwa ujinga na upumbavu wako.
 
Back
Top Bottom