Wanajeshi kwa waliohusika na tukio hili wawajibishwe
Dogo anataka kutafuta haki Jeshin alete mrejesho sasa.
Kwenye maisha ukijifanya Sana mtu wa kutii tii Sana utaonewa Sana.
 
Kupiga picha maeneo ya usalama.

Kuna maeneo kisheria huwezi kupiga picha.
Mfano; Vituo vya Polisi +majeshi yote.
Bank n.k

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hilo la picha wala sio kosa lake coz yeye alikuwa barabarani wao ndio walimkatisha na kumlazimisha kuingia ndani yaliyotokea baada ya hpo ni upumbavu wa hao wanaojiita tiss.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Unajuaje kama dogo aliwatukana?
Kuna uwezekano mzozo haujaanzia kwenye kuchomekeana tu

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hata tuseme ni kweli aliwatukana,Sasa mtu kukutukana tu ndio mumshukie wengi hivyo kama mmeona gaidi? Punguzeni arrogance wana usalama wetu, mnapenda sana kudeal na vitu petty na kuoneshana umwamba, hii nchi ina mambo mengi sana ya kushughulikia, watu wa muhimu mliopewa dhamana mnapambana na watukanaji barabarani. Haiingi akilini kosa la kutukana adhabu yake iwe hiyo "chaos" yote iliyotokea hapo.

Kutukana mbona mnatukanwa na wake zenu na waume zenu kila siku majumbani na hamna kitu mnafanya?

Viti vya ofisi za umma vinakaliwa na washamba na malimbukeni!
 
Hapo ni usalama wa taifa
Hata kama ni usalama
Tatizo jamaa wengi wao ni washamba halafu waoga angalia hapo wamejazana kibao na bunduki juu kukabiliana na mtu mmoja ambaye labda hana hata kiwembe.
Tuombe Mungu sana tusivamiwe na adui tukiamini hao jamaa kazi yao kubwa ni kuonea raia tu
Na wengi wao huwa ni wakuja ndo huwa na mambo hiz.
Huwezi kuta askari aliyezaliwa mjini akawa mnoko wao huwa bize na pesa na sio bize na unoko
 
Na kuna wale wa #katibampya wanalaumu hao TISS kwamba wamemuonea huyo kijana hata bila kujua upande ulifanya hivyo kwa sababu ipi.

Mnataka katiba mpya and still mnahukumu kwa kusikiliza upande mmoja?
 
Mbona vijana mnakuwa wapumbavu na wajinga kiasi hiki cha lami? Do we read kweli sheria?
Hivi unajuwa usalama wa Taifa nieneo hatari kurecord au kufanya chochote?
Unajuwa kwakufanya kosa hilo unaweza kupotea natusikuone mpaka kiama pasipo jali wewe ni mtoto wa nani?
Je unajuwa maeno kadhaa ktk jiji la dsm nihatari hata kupak gari nje?
Je unajuwa call zote na watu wanapita nje ya ofisi za usalama wa Taifa zinakuwa intercepted kutoka mbali sana?
Haya utampigia mjomba wako mbunge... Kwa ujinga na upumbavu wako.ok
Hayo ni maisha ya zama za mawe za kale, watu wanapiga picha nje ya white house, hapo kwenu kuna kitu gani kipya kisichojulikana duniani?

Well, amepiga picha/video, mwanausalama mwenye maadili angechukua hiyo simu na kudelete video husika na kumuonya asirudie hilo kosa, Tafrani yote hiyo iliyotokea ni ya nini? Maguvu mengi utadhani mnakamata gaidi. Wakati Hamza amekuja na mabunduki mbona hamkujitokeza.

Halafu wewe tunakudai yuko wapi Ben Saanane?
 
Usalama wa mchongo hawa Zero Brain kabisaa Video imefikaje mitandaoni wakati simu waliikwapua ?
 
Hayo ni maisha ya zama za mawe za kale, watu wanapiga picha nje ya white house, hapo kwenu kuna kitu gani kipya kisichojulikana duniani?

Well, amepiga picha/video, mwanausalama mwenye maadili angechukua hiyo simu na kudelete video husika na kumuonya asirudie hilo kosa, Tafrani yote hiyo iliyotokea ni ya nini? Maguvu mengi utadhani mnakamata gaidi. Wakati Hamza amekuja na mabunduki mbona hamkujitokeza.

Halafu wewe tunakudai yuko wapi Ben Saanane?
Na bado video imetufikia walimwengu huku mitandaoni. Sasa sijui wanalinda nini hawa viazi?

Pale whitehouse, kuna hadi museum watu wanaingia kutalii. Hawa viazi wenyewe bado wanakomalia raia wasipige picha eti "maeneo nyeti", nyeti my foot. Kuna eneo nyeti hapo makumbusho kushinda white house? Kuna maeneo nyeti kushinda ofisi za CIA pale Langley?

Hawa vijana wa UVCCM wanachoweza ni kukimbizana tu na wananchi ambao hawana madhara wala hatia. Maana wamejazana hapo sababu ya kadi zao za chama, Ila uweledi ni sifuri!
 
Alichofeli ni Kukubali kuingiza Gari mule ndani

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Kafeli sana huyu mwamba.

Na inaonesha ni mkorofi tu by nature hata ongea ongea yake.

Alafu si angesema hasimamishi kama vipi tuongozane polisi..


Mrekodi video kwa mujibu wa video anaonekana nj msumbufu by nature
 
Alafu huyo ni dereva tu....
jamaa fala sana yule. dereva tu wa gari la idara ya usalama wa taifa, anavimba vile.

najiuliza vp kama angekuwa station chief wa tiss nje ya nchi akiongoza team kufatilia masuala nyeti ya kijasusi ya mataifa mengine.
 
Huyo dogo ndie pumbavu kabisa unaamuriwa vipi tena na dereva tu nawe unatii unaingiza gari kwenye fence.
 
Nne kupiga picha kwenye eneo ambalo hairuhusiwi kupiga picha Au kuchukua video ni kosa!
dunia ya sasa ni ushamba kumzua raia asipige picha/video majengo ya serikali.

unamzuia kwa kisingizio cha kulinda usalama wa nchi wakati algorithm ya google map na google earth inakupa aerial view ya eneo lolote unalotaka including maeneo yao haohao tiss.

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]


20220411_002732.gif
 
Kuna fala mmoja huwa anajifanya au sijui ndio security wa Taifa kweli!!!? Nilikuwa nasikia sana tabia zake za kuwa akikutaa bar unakunywa na yeye anaagiza kama uvyokunywa wewe kisha anasema utalipa wewe,.
Bahati nzuri mimi sinywi ila nikasema hasirogwe kuingia katika anga zangu za aina yoyote hile.
Siku moja nikaenda bar na rafiki yangu mmoja alikuwa ananywa zake bia mimi nikiwa nakunywa sparletar yangu mara jamaa kaja na kama kawaida yake siku hiyo akafikia kwenye point yetu. Akatusalimia akaenda counter kaagiza na yeye bia zake kama za jamaa yangu na kumwambia counter kuwa watalipa wale pale akituonesha sisi.
Baada ya sisi kumaliza yetu tukaomba bill ilipoletwa tukaona bill imekuja mara dufu, nilipooliza tukajibiwa kuwa na pombe zile pale. Mimi nikamwambia sisi hatumfahamu alipe mwenyewe, baada ya hapo jamaa si akaja akatuuliza kwa nini hatutaki kunilipia?
Nikamuuliza tukulipie wewe una tatizo gani? Nae akatuuliza kwani nyinyi hamnifahamu, na Mimi nikamuuliza "sisi unatufahamu?" Nikamwambia ondoka kabla sijakushia dhahama, wakati huo watu wametunguka wakisilizia. Naona kaondoka uku akisema "mtanijua tu"
Juzi nimekutanae barabarani nashangaa kanisalimia bro za ziku?
Nikajifanya sikumsikia.

Ulimbukeni huo upo kweli
 
Sijui kama ni sheria au protokali tuu. Ila ukipiga picha au video majengo ya serikali bila kupewa rukhsa unaweza kupata matatizo.
Nadhani ni protocol ya kizamani,mbona google maps unapata picha zote utakazo.
 
..wananchi tunatakiwa tuzifahamu HAKI zetu tunapokutana na watumishi wa vyombo vya dola.
 
Back
Top Bottom