-
Jimbo la Nkenge mkoani Kagera Mawakala 285 wamezuiwa kuingia vituoni kati ya Mawakala 340 hali hii ipo maeneo mengi, ukiukwaji huu wa taratibu za uchaguzi haukubaliki na Wananchi wana Haki ya kuupinga ili kutetea Uchaguzi huru na wa Haki.
 
Tumepokea taarifa kutoka Arusha, Jimbo la Arumeru Magharibi, Kata Kiranyi kijiji Elkiurei, Kuna kituo hewa ofisi ya kijiji mtaa wa Kwaloningó karibu na MoonShine Hotel , Hii ni saa hakuna mpiga kura wala dalili za mpiga kura
 
-#Arusha Polisi wameenda kwenye vituo vya kupigia kura wamechukua simu za mawakala wote wa Chadema na kuondoka nazo.
 
tulivosema Chadema mtashindwa vibaya sana na kwa aibu hamkuamini.

Now ni visingizio tu. Watanzania muda huu wanabet na kujadili Mechi za UEFA
ficha upumbavu wako, unless ba matokeo yako binafsi kwenye mfuko wa suruali yako chafu
tuliza mapumbu subiri matokeo
 
Hakuna kitu kama hicho. Mlitamani sana tushindwe kufanya uchaguzi huru na haki kwa kusababisha vurugu, hivyo viunzi watanzania tumeviruka. Mpaka sasa uchaguzi unaendelea kufanyika na ni matumaini yangu utamalizika salama na matokeo yatatangazwa kwa usalama pia. Tanzania yenye amani itaendelea kushamiri na kuimarika kwa kila nyanja. Na hapo sasa ndiyo mwanzo wa kuipata Tanzania inayoJITEGEMEA kwa uhalisia.

Mungu ibariki Afrika,
Mungu ibariki Tanzania. Amina.
 
Wacha uongo mpuuzi wewe
 
Unaota?

Mlifikiri uchaguzi ni sawa na kuchaguana mamonitor wa darasa la nne?

Na bado
 
Toa Ujinga
 
Wacha uongo mpuuzi wewe
Ha ha haaa ! Waongo wanajulikana Tanzania hii. Hata hivyo, pole kwa kukwazika na maoni yangu. Bahati nzuri, niliyoyaeleza ndiyo ukweli wenyewe, Mtani wangu. Hakuna namna vumilieni ukweli huu ingawa ni mchungu kwako.
 
Inawezekanaje Hilo?
 
Kwa nini mnajiabisha!? Yaani unadiriki kutoa tuhuma kama hii bila ushahidi usiotiliwa shaka na unatengemea watu wenye hekima na busara zao wakuone wa maana!? Mkuu, unaonekana kituko kwa hili unalofanya na inaoneka a wazi unataka kuchafua amani ya nchi. Hili halikubaliki!
 
Unajua maana ya watu 29m+, hiyo ni nusu ya watanzania wote. Hata wangejitokeza watu 15m tu, kungekuwa na misururu hadi sasa. Ni hivi, watu wamepuuza huo utoto uitwao uchaguzi.
Madhara ya uchache wa wapiga kura ni yapi?.Natamani sana kujua tafadhali
 
Makaratasi ya kura yamezagaa mitaani kibao.aliebuni wizi wa aina hii hajui kuiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…