Ni kweli! grassroot ni ile ya OCD wa Jeshi la Polisi Tanzania kutangaza matokeo wiki mbili kabla ya kura
Kura kwenye mabegi, zote za CCM halafu zina mhuri wa NEC na kila kitu. grassroot
Kwa hili Wapinzani waliambiwa hawakusikia
1. Nikupe gari na mshahara halafu umtangaze mpinzani
2. Tutafuta upinzani nchini
3. OCD na Jeshi la Polisi, NEC, Msajili, TCRA , TBC halafu CCM washindwe, ningewaona CCM wapuuzi
Kuna kitu kimoja watu hawakioni. Miaka 5 ya kampeni peke yao, rasilimali za nchi, kuwafunga wapinzani lakini chuki iliyopo dhidi yao kitu cha kutafakari sana
Unaona dhahiri kuwa wananchi hawajali ndege wala madaraja, wamejawa chuki na wanaichukia na kuwachukia to the core. Badala ya kushangilia wizi, wangekaa kitako na kujiuliza !
Wakae chini wajitahmini, wajiulize na watakafakari kwanini Inachukiwa na wanachukiwa kiasi hicho
Uongo huo, haya matokeo wanaopost kwenye media zao sometimes huwa wanakoseaNa ukizijumlisha kwa pamoja jumla inakua ngapi mkuu
Jumla unapata asilimia ngapi? Halafu upumbavu huu unatangazwa na mtu anayeitwa jaji tena mbele ya watu.Kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya uchaguzi nchini waliotoa matokeo ya kura za wagombea wa nafasi ya urais zinaendelea kutangazwa ambapo kwenye jimbo la uchaguzi la Nkenge mkoani Kagera.
Magufuri amepata kura 57,975 sawa na aslimia 97.1 na mshindani wake wa karibu Tundu Lissu amepata kura 5145 sawa na asilimia 8.05, kura hizi hazijajumuisha zile za wagombea wengine.
Huo uongo inabidi ungeongeza na zile za kina Membe, Shibuda, Sipunda, Seif, wale wamama nk ndipo uje useme huu uongo!.Uongo huo, haya matokeo wanaopost kwenye media zao sometimes huwa wanakosea
Ukweli huu hapa
View attachment 1615504
Huoni kama zipo tofauti na zako? Hao wengine ndio wanaotengeneza 1% iliyobakiHuo uongo inabidi ungeongeza na zile za kina Membe, Shibuda, Sipunda, Seif, wale wamama nk.
Mkiambiwa mna mihemko mnakuwa wakali, hapo huyo jamaa kuweka hivyo hata hujataka kujisumbua kutafuta ukweliJumla unapata asilimia ngapi? Halafu upumbavu huu unatangazwa na mtu anayeitwa jaji tena mbele ya watu.
Kwani Askofu Bagonza hakuwepo huko Kagera? Sijui anajisikiaje waumini wake kumkataaa!!Kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya uchaguzi nchini waliotoa matokeo ya kura za wagombea wa nafasi ya urais zinaendelea kutangazwa ambapo kwenye jimbo la uchaguzi la Nkenge mkoani Kagera.
Magufuri amepata kura 57,975 sawa na aslimia 97.1 na mshindani wake wa karibu Tundu Lissu amepata kura 5145 sawa na asilimia 8.05, kura hizi hazijajumuisha zile za wagombea wengine.
Duh pole sana ndugu, chukulia ya kawaida tu.Nabaki kulia[emoji24] kila naposikia anasifiwa JPM
Na awamu hi ameamua kuua mfumo wa vyama vingi.
Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania!