Uchaguzi 2020 Yaliyojiri sehemu mbalimbali Tanzania katika zoezi la upigaji kura za Rais - Oktoba 28, 2020
Hapo ndipo mtaona kuwa hakuna watu wanao wasupport, nipo hapa kkoo maisha yanaendelea kama kawaida. Hakuna hata mwenye habari na hilo tamko la kijinga
Lissu ameshatoa tamko mbona, wapenda mabadiliko wote waandamane kupinga mapungufu ya haki katika uchaguzi huu.
 
Naam.

Kipigo cha mbwa. Hicho ndo wanachokipata hawa so called ‘wapinzani’.

Kwa kweli wala siwaonei huruma. Maana kinachowatokea ndicho wanachokistahili.

Labda baada ya hapa ndo tunaweza kupata upinzani wa kweli kuliko hawa waganga njaa.

Hawa watu waliugeuza huo upinzani kuwa ‘a hustle’ na kusahau kabisa malengo na madhumuni yao.

Ukiwapa ushauri wa kujenga, wanakudharau. Wanakuona wewe ni zuzu au sijui ni zwazwa.

Haya sasa, siku ya siku imefika, imepita, na yale ambayo baadhi yetu tulikuwa tukiwaonya kuwa yatatokea, yameanza kutimia.

Sasa eti wameanza kulialia.

Wanalialia nini sasa? Kwani hawakujua ambacho kingetokea?

Mimi siwaonei huruma hata kidogo.

They deserve everything that’s happening to them and then some.

Now, maybe this will be their time of reckoning.

But, with this current bunch, I don’t have faith in it.

Let me repeat myself again [I know, I sound like a broken record here but oh well]; if you always do what you’ve always done, you’ll always get what you’ve always got.

Read and weep.
Hao wapinzani wa kweli watatoka wapi? Na tutatambuaje kuwa ni wapinzani wa kweli na sio hustlers?
Na by the way, malengo na madhumuni walioyasahau hawa wapinzani ni yapi?
Miaka mitano sio mingi, na Mungu akitujalia tutakutana humu kusherehekea maendeleo makubwa ambayo taifa letu itakuwa imepata baada ya kuondokana na hawa wapinzani "fake".

Hamna haja ya kulia maana ni siku njema na wananchi wameamua wanakotaka kwenda. Bila kulazimishwa na mtu.

Amandla...
 
Hao wapinzani wa kweli watatoka wapi? Na tutatambuaje kuwa ni wapinzani wa kweli na sio hustlers?
Na by the way, malengo na madhumuni walioyasahau hawa wapinzani ni yapi.
Miaka mitano sio mingi, na Mungu akitujalia tutakutana humu kusherehekea maendeleo makubwa ambayo taifa letu itakuwa imepata baada ya kuondokana na hawa wapinzani "fake".

Hamna haja ya kulia maana ni siku njema na wananchi wameamua wanakotaka kwenda. Bila kulazimishwa na mtu.

Amandla...
Okay
 
Haya mnayo yaona leo ni matokeo ya mtu mmoja Mbowe ya kumleta Lowasa Ukawa,hili lilikuwa bonge la kosa ambalo kwa mtu makini kabisa kwa kosa lile alitakiwa ajihudhuru, ila Mbowe anadunda, untouchable, ukimkosoa humu watu wanakushambulia.
images (23).jpeg


Nilikiwa mwanasiasa kindakindaki wa CHADEMA chuo kuanzia 2009,ila baada ya Lowasa kuingia nilikaa pembeni,nikabezwa,nikapondwa baada ya UKAWA kupata viti vyingi bungeni,ila baada ya wabunge kuanza kurudi CCM ,kuna watu niliwaambia 2020 hali itakuwa mbaya sana na leo tuna yaona.

CHADEMA mlivyo mleta Lowasa UKAWA na kujiamini kwamba mpo imara,kumbe mliacha nyumba yenu mliyokuwa mnaijenga kidogo kidogo kwenye mwamba na kwenda kujenga kwenye mchanga kisa tu kuna urahisi.Sasa angalieni leo mnayo yapata ni haki yenu hamjaibiwa hata kura moja.

CHADEMA mkitaka kusimama tena mnabidi muanze upya mfumue chama chote na mkijenge CHAMA kupitia vijana wenu na watu wenu mlio waandaa nyinyi na si kunyakua wanasiasa kutoka CCM na mnatakiwa kiwaamini watu wenu.

MMEVUNA MLICHO KIPANDA.
Mkuu, umesema ukweli wote. Dr. WS hakuwa mjinga kujiondoa nyakati zile.
Lisu kaachwa mwenyewe utadhani hana chama. Wagombea wengi hawakupewa usaidizi wakati wa kujaza form na kuzirejesha. Viongozi wanabaki kuuza sura mbele ya camera tuu wakilalamika.
 
Aende zake tu akaishi Ubelgiji...watanzania bado wanahitaji kichapo cha miaka mitano tena wajitambue...Nchi ikiwekewa vikwazo ndipo tutajua kuwa kumbe tamu huwa ni chungu...Amefanya kwa nafasi yake...Big up!!!!
Ukiwekewa vikwazo hizo ARV na vyandarua unavyotumia kuzinunua wewe?
 
Ukiwekewa vikwazo hizo ARV na vyandarua unavyotumia kuzinunua wewe?
Uchaguzi ulikuwa wa huru na haki, wananchi kwa utashi wao wamewakataa upinzani walaghai, Lisu alikuwa ananadi matusi badala ya sera, alikuwa anatafuta kura za huruma. Wananchi wameamua kuchagua maendeleo, hakuna cha kuwekewa vikwazo wala nini. Nadhani, kwa sasa upinzani ujipange, ujitafakari walipojikwaa ili 2025 waje wakiwa wamejipanga kwa sera mbadala ya kuiondoa CCM!
 
Mkuu, umesema ukweli wote. Dr. WS hakuwa mjinga kujiondoa nyakati zile.
Lisu kaachwa mwenyewe utadhani hana chama. Wagombea wengi hawakupewa usaidizi wakati wa kujaza form na kuzirejesha. Viongozi wanabaki kuuza sura mbele ya camera tuu wakilalamika.
Ni mambo ya Karma, J. Mnyika katibu wa CHADEMA kwa sasa aliwahi kutamka maneno mabaya dhidi viongozi wa Taifa hili kuwa ni dhaifu. Sasa karma imemfuata hapo alipo, chama chake kinamfia mikononi mwake! Na hii inadhihirisha udhaifu mkubwa sana aliounyesha Mnyika kutekeleza majukumu ya ukatibu mkuu wa CHADEMA!!!!
 
Watu wameona isiwe tabu, mtu umepigwa risasi na bado hujapona vizuri halafu tena tukuongezee majukumu ya urais, ni afadhali tukuonee huruma kwa kumpa kura magufuli ili ukatibiwe vizuri
 
Back
Top Bottom