Busara itumike Jimbo la Vunjo, Kimei arudi

Aporudi akienda upinzani atamchanachana mpinzani wake vibaya sana
 
Wanacccm tukishampitisna mgombea halafu cc wasithamimini chakuzi letu kazi ni moja tu .
Kuungana na wapinzani kuhakikisha ulazimu wa cc kutambua matakwa yetu.
Sisi wanaccm tutakesha kulinda heshima yetu kwenye jimbo husika kwa gharama yoyote ile!
 
Watafuta ajira wote wepata kura sufuri. Maana walikuwa wengi mpk ikawa inatia kinyaa
 
20 Julai 2020
Momba, Songwe

Mwenyekiti CCM MOMBA Awachana LAIVU Bila Hata chenga Wagombea 30 wa Ubunge Jimbo la TUNDUMA


Source : Jay TV
 
BADO MAKONDA NI MSHINDI

Na, Robert Heriel

Makonda anayohaja ya kuwashukuru sana watu wa kigamboni. Kwa kweli matokeo aliyoyapata kwake ni kama ushindi kutokana na kuwa, mpinzani wake alikuwa anatetea ubingwa.
Tofauti ya kura 68 ni ndogo sana.

Ukiangalia matokeo katika maeneo mengine utaona watu wakiachwa kwa mamia ya kura, wengine wakiadhibiwa kwa kushindwa kufikisha kura kumi tuu.

Makonda bado ni mshindi, na unapaswa umshukuru Mungu na watu wa kigamboni kwa kura ulizopata.

Naamini utaibuka kidedea huko mbeleni. Kila la kheri.



Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
 
Hivi Serikali za Mitaa walitumia utaratibu upi? Tukumbushane kidogo
Bila shaka ungewauliza tume ya uchaguzi, NEC kwa sababu taratibu za CCM na NEC ni vitu viwili tofauti.
 
mambo sasa hadharani. ni hesabu rahisi za logic.

ni hivi...

kwa siasa za ndani na nje ya CCM, Makonda ni taswira ya JPM.

huko Kigamboni, Makonda kaambulia 34.76% ya kura.
hiyo ndiyo opinion ya wana CCM wa Kigamboni dhidi ya Makonda (mirroring JPM).

nina uhakika hiyo ndiyo pia verdict ya wana CCM katika mkuu wao majuzi kule Dodoma, kwamba ndani ya mioyo ya wana CCM, JPM anakubalika kwa 34.76% tu na siyo 100%.

uchaguzi mkuu October ungekuwa huru, JPM asingeweza kuambulia hata 30%.

upinzani over to you.

ni logic rahisi tu

Zitto John Mnyika CHADEMA ACT Wazalendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…