Na huko Kyela mwanahabari wetu Benedicto Kikoromo (Ben Kiko) anaripoti ifuatayo 1. Ally Mlagila Jumbe (Kinanasi) 502
2. Hanta Albert Mwakifuna 288 3. Dr. Harison George Mwakyembe 252
 
*WALIO ANGUKIA PUA KURA ZA MAONI CCM*

*#TeamMwananzila*
1. Sophia Mjema
2. Paul Makonda

*#TeamKuungaJuhudi*
1. Mtulia
2. J. Nassari
3. Kafulila
4. Lijualikali
5. Silinde
6. Katambi
Abdalah Mtolea ..Temeke wamekula kichwa
 
Name recognition ndio factor kubwa nimegundua.

Kiwango ambacho wamesikia jina lako kwenye jamii, hata kama ni kwa udaku.

Erick Shigongo anashindaje siasa za ubunge?

Namshangaa Amber Rutti hajagombea.
Mzee watu wanawekeza kimyakimya!Shigongo si Mara ya kwanza kwenda huko,hata 2015 kama sikosei ndio alikuwa wa Pili baada Tizeba
 
Mbona hesabu inagoma, inawezekana vipi 84+80+46+22+3+2=237 alafu wajumbe 555 ina maana wajumbe 318 wamekataa kupiga kura?

Si inasemekana watia nia walikuwa 55?

Maana yake indelea kuzigawa kura hizo za hao 318 kwa wagombea wengine 49....
 
Makonda kala za shingo asubuhi sana
Najaribu kuwafuatilia wateule wa Rais Magufuli waliobwaga manyanga na kutia nia ya ubunge.

Yule aliyekuwa DC wa Dodoma mh Patrobas Katambi sijamuona popote, je hakuwahi kutia nia?

Maendeleo hayana vyama!
 

Kwangu Mimi GENTAMYCINE hii ndiyo ' best post ' kuliko nyinginezo kwakuwa imeongelea Uhalisia na mambo ambayo ni ya Kweli sana tu. Heko!
 
Sina majibu, hii inamaanisha Nini kwenye siasa za Tanzania za Sasa.
 
Najaribu kuwafuatilia wateule wa Rais Magufuli waliobwaga manyanga na kutia nia ya ubunge.

Yule aliyekuwa DC wa Dodoma mh Patrobas Katambi sijamuona popote, je hakuwahi kutia nia?

Maendeleo hayana vyama!
Cheki Shinyanga mjini Bwashee, kashamwagwa na Masele kitambo tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…