Wale mastar walijua kuwa maarufu instagram ndo ushindi. Nasubiri matokeo ya Babu Tale.
Wasafi asubuhi na kabla ya matokeo ya Kigamboni walikuwa wanaposti na pia wakawa wanamposti Makonda baba mlezi. Tangu matokeo yatoke wapo kimya sana! Inaoneka Meneja mambo ni kama baba Mlezi! Wizara ya michezo na utamaduni imeota mbawa!!
 
Nasubilia kwa hamu jimbo la busanda limekaliwa na mama rolesia bukwimba hachagiagi hoja yeye ni ndio
 
😂😂😂😂 hiyo TISS FAKE ya iliyojaa maccm!?

Ayaanike hayo anayoyajua hadharani kuusu mh Raisi ndio atakapojua TISS wamelala au wapo kazini

Watamshughulikia kisawa sawa,Makonda hawezi kushindana na serikali
 
Wasafi asubuhi na kabla ya matokeo ya Kigamboni walikuwa wanaposti na pia wakawa wanamposti Makonda baba mlezi. Tangu matokeo yatoke wapo kimya sana! Inaoneka Meneja mambo ni kama baba Mlezi! Wizara ya michezo na utamaduni imeota mbawa!!
Hahahah wasafi wanafki. Sasa Makonda ndo atajua marafiki wa kweli ni kina nani.
 
Wasafi asubuhi na kabla ya matokeo ya Kigamboni walikuwa wanaposti na pia wakawa wanamposti Makonda baba mlezi. Tangu matokeo yatoke wapo kimya sana! Inaoneka Meneja mambo ni kama baba Mlezi! Wizara ya michezo na utamaduni imeota mbawa!!
Wasafi ni chalii, makonda, talle, mwakyembe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwakweli ndugai,zungu imetosha,naomba Mungu wapumzishwe tu

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Huko kwetu jenista kazoa kura zoteeeeeeeeeh, mwenzake et 2 tyuuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mama ana foundation. Nadhani ukiwa karibu na wajumbe kwa miaka 5 ,hawawezi kukutupa.
 
Si kweli,advanced kasoma Malangali iringa kamaliza 2007,then Udsm
🤣🤣🤣 Wangemuuliza Molel siri ya mafanikio. Katambi atajuta kuuacha ukuu wa wilaya. Elimu yake yenyewe ya chuo cha kata st Augustine.
[/QUOTESi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…