Ni kwelikati ya wabunge waliohama vyama Silinde kapata kura nyingi na ni muda mfupi sana anaweza kusimama hapo kwenye hilo jimbo.Ngoja wataamua wenyewe huko.
 
Kama mkristo na kama mtanzania naunga mkono hoja.. Sio kila kitu ni dini au kabila..
Unajua watu tunapenda sana kuendekeza mambo ya kijinga! Hata huko Zanzibar unaweza kukuta ni watu wenyewe tu wanajishtukia kwamba "Mkristo mimi, atanichagua nani huku" badala ya kuingia ulingoni ukakataliwe kwa vitendo badala ya kutumia hisia!

Watu tunasahau kwamba Mzee Sepetu alikuwa Mkristo na alihudumu Zanzibar kwa vyeo mbalimbali!! Sasa mtu ambae alihudumu kwa vyeo vikubwa ndo tuamini angegombea ubunge asingeupata eti kisa Mkristo!!!
 
Kigamboni Kuna mchezo umefanyika so bure,harufu ya rushwa na kukomeshana.


CC inatakiwa kufanya uchunguzi kwa Hawa wanaoteuliwa ili kupata viongozi bora na wenye maslahi mapana zaid kwa wananchi.
Watu wamebanwa maslahi yao Sasa wanaamua kuleta urafiki na kutumia kilambinu kutaka kuwatoa waliowabana ili waeze kuendelea kupiga.
 
Unachosema Ni sahihi kibamba ccm haina nguvu hivyo aliogopa kupetwa na John mnyika, kawe hata Kama angepita angekumbana na kisiki halima mdee, kimsingi makonda ni mwoga sana
Kigamboni lilikuwa ni jimbo Sahihi kwake, maana hata Upinzani hakuna Strong candidate mpaka muda huu ambaye katia nia. Kwa kama kama atapita kwenye mchakato wa maoni alikuwa anaiona Dodoma ile pale. Kimbamba na Ubungo ni safe seats za Chadema.
 
Walishalipwa mshiko wao wakala pesa ikaisha
 

Nyie acheni mchezo mchafu. Mtu wenu hakubaliki, period. Hilo la Kigamboni ni picha ya halisi ya uchaguzi utavyofanyika October.
 
Name recognition ndio factor kubwa nimegundua.

Kiwango ambacho wamesikia jina lako kwenye jamii, hata kama ni kwa udaku.

Erick Shigongo anashindaje siasa za ubunge?

Namshangaa Amber Rutti hajagombea.
Shigongo tangu 2010 anagombea huko kwao mpk leo.
 
Tuwekee matokeo hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…