OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
walizuga kwa kuacha hata mmoja, maana Wangekatwa wote ingekua ni balaa kubwa piaKwa hili nipo pamoja na CCM ila wameniudhi mbona wamemwacha Mollel atambe. Tutamkatia rufaa kwenye Kamati Kuu
Sasa tusubiri waliojifanya wanapendwa kama kweli wanapendekaWameshakula ujira wao
HahaKwa hili nipo pamoja na CCM ila wameniudhi mbona wamemwacha Mollel atambe. Tutamkatia rufaa kwenye Kamati Kuu
Karata yangu kwa Benjamin SittaMimi na MPA Yusuph Mwenda
Gwajima Jana kafeli kata ya msasani na mikocheni ,wajumbe km wamemkataa hv
Alitaka sifa. Maana alijua kumdondosha Ndugulile ni Glory kwake. Angeenda kweli Kibamba,Ubungo ama Ukonga.Lakini lipo tatizo la wateuliwa kudhani hawawajibiki kwenye chama, hayo ndio matokeo yake, una shindwaje kuwashawishi voters 300? Kingine Ni uroho wa madaraka na dharau, kwani angeenda ukonga kibamba ubunge kawe angeshindwa nn? Na hata angeshindwa huko tungejua alienda kukipambania chama kulikoni kwenda kubanana na ndugulile, kwanza mumemtimua uwaziri bado mnamfuatafuata
Hawa wapuuzi flani walihama wakapewa nafasi CCM saivi wamewanyoosha, Shukwani ziwaendee CCM na mwenyekiti wao. Mwenyekiti kashamaliza teuzi za UDAS, URC, UDC, U-RAS, U-DED waliopoteza watajutia nafasi walizopoteza.
- Mtulia
- Katambi...
Hahahaa haipo kikatiba ila wamechapisha fomu moja tu π π π π.Kumbe hiyo ipo kwenye katiba yao? [emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli kabisa wewe ni jingalaoKatika kura zilizonivitia ni hizi za Tunduma.
Silinde amehama kutoka Upinzani na hapo hapo akahama jimbo.
Ukitazama matokeo ya kura za maoni utaona ni kwa kiasi gani ameweza kujenga ushawishi ndani ya CCM katika muda mfupi.
Hapa ndio unaelewa ile hofu ya MNeC kutoka Tunduma...
Cha msingi Bashite anarudi kwenye kazi yake ya upishi kwenye meli ya wagiriki.Kigamboni Kuna mchezo umefanyika so bure,harufu ya rushwa na kukomeshana.
CC inatakiwa kufanya uchunguzi kwa Hawa wanaoteuliwa ili kupata viongozi bora na wenye maslahi mapana zaid kwa wananchi.
Watu wamebanwa maslahi yao Sasa wanaamua kuleta urafiki na kutumia kilambinu kutaka kuwatoa waliowabana ili waeze kuendelea kupiga.
wakila tena tutajua tu kua ni makaraiMkishangilia sana wote wanakula uteuzi tena.