Level nyingine katika nini? uchawi? kwahiyo vijana wakienda kupiga kura kama wana mtaka mkristo wanajikuta wamechagua muislam? Toa ufafanuzi ni kwa vipi wazee wa kiislam wachache ndio wawe waamuzi wa uchaguzi wa mbunge.
Utakuwa huijui Kigoma vizuri wewe.
Wazee wa ujiji ni level nyingine asee
 
Nilichokiandika hakiendani na chochote ulichokiandika hapa abdool.

Issue ni shule pelekeni wanenu shule kwa wingi na wasiishie form four muwatupe shauri yenu
kumbe upo kwa ajili ya kutukana na kubishana, haya umeshinda. 👏👏👏
 
Mahesabu yako ya kijinga sana
 
Wengi wanaokubali Magufuli hawakubali makonda
 
KATIKA JAMBO AMBALO NALIONA NI LA AJABU SANA NI BONNA KALUA KUFAULU KUPITA JIMBO LA SEGEREA ILIHALI HAKUNA CHOCHOTE ALICHOFANYA KATIKA JIMBO HILI NI BORA HATA MAKONDA ANGEKUJA HUKU SIJUI WASHAURI NWAKE WALIKUWA AKINANANI
Bona mpeni haki yake kapambana Sana Ni resources tu hazitoshi Ila kidogo alichopata kakisimamia
 
Kennedy kakatwa mbona yuko kimya sana humu ?

Au anasubiri wa kwanza tukamtia cross, wa pili tukamtia cross, watatu tukamtia cross wanne tukamupa

Jamaa ana comments zake za Mungu ni Mwema Wakati Wote!

Huwa namtafakari jamaa, napenda sana style yake.
 
Alafu hata mimi nlishangaa sana Makonda anakubalika sana huku Ukonga
 
Kwa coment hizi ccm itashinda kwa kishindo sana mwaka huu
 
Mbunge aliyatamba na kupata jina katika awamu yake moja ya ubunge (2010-2015) chini ya NCCR-Mageuzi bwana David kafulila amepigwa za uso na Mbunge aliyemaliza muda wake katika jimbo Hilo,Hasna Mwilima.
Dhambi ya usaliti wa upinzani haitawaacha salama, wajifunze kulidhika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…