Democracy ina maana gani sasa kama tuna angalia mwenyewe convincing power? Ni nani alikuwa na ushawishi mkubwa 2015 CCM kama EL na Membe? Lakini leo si wote tunaona matunda Safi kabisa ya JPM kuwa Rais je wangefata convincing power hii almasi mchangani ingepatikana kweli?
 
Kikubwa tunachojifunza ni hiki:

When there is something interesting going on in our society, the social media too becomes an interesting part of our society.

Kuelekea Oktoba 28 mwaka huu,tuwekeze katika mitandao ya kijamii na pia tuitumie vizuri mitandao ya kijamii kwani inaweza kutusaidia kuleta mabadiliko katika nchi vyetu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]kajamaa kanaleta sera za uongo balaaa
Sasa kama ana KIINUA mgongo cha TZS 240 million (niko tayari kusahihishwa kama nimekosea) akiamua TZS 100 million kuingiza jimboni ni sawa vile vile
 
#KuraZaMaoniUbunge Dk Kiruswa apigiwa 529 Longido Mbunge wa zamani wa jimbo la Longido mkoani Arusha, Dk Stephen Kiruswa ameongoza kwa kura 529. Wa pili ni Lomayani Logile kura 68. Wa tatu ni Sabore Ole Moloimet kura 45. Taarifa ya: John Mhala #uchaguzimkuu2020 #CCM2020 https://t.co/QyMajDYPXg
 
#KuraZaMaoniUbunge Mabula aibuka apata 502 Ilemela Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Ilemela, Dk Angelina Mabula ameongoza kwa kura 502. Wa pili ni Israel Mtambalike kura 112. Waliopiga kura ni 685. Taarifa na: Alex Sanga, Mwanza #HabariLeo #Spotileo #uchaguzimkuu2020 #ccm2020 https://t.co/ESdnhmo3JN
 
Unazungumza kitu muhimu sana , lakini muda umefika tuzungumzie issues na sio watu, mtandao wetu unapaswa uwe juu kuliko kushinda kuzungumzia watu tuu.
 
Asante kwa taarifa so bwana chami.amekimbia
 
Baada ya matokeo ya kura za maoni ndani ya CCM kuanza kutolewa kuanzia jana, kuna jambo limejitokeza, bali ni NGUVU ya LOWASSA kwenye mchakato mzima. Rejea kushindwa kwa Makonda na Mwakyembe. Angalia ushindi wa Zungu Ilala na Mollel Siha.
 
Ni wajibu wa serikali kupeleka maendeleo kwenye jamii bila kubagua na bila kuangalia ushawishi wa mbunge kwa sababu maendeleo yanachangiwa na kodi za wananchi na sio pesa ya mfukoni mwa rais au bashite.

Vilevile wananchi wanapololipa kodi huwa hawachagui ushawishi wa mbunge ila wanatimiza wajibu wao kama raia
 
Lowassa zama zake zimeshapita masuala ya kumhusisha na siasa za ndani za CCM ziwe positive or negative ni kukosa maarifa.
 
Maswa Magharibi
Stanslaus Nyongo - 309
Peter Bunyongili - 209
Kuna mwenye report hizi full za Maswa Magharibi kuna Bossi wangu wa zamani Mashimba Masahuri Ndaki, ndo alikuwa mbunge hapo inamaana kapigwa chini? Ameshindwa kwa kura ngapi? Alipata kazi Canada mwaka 2009 Akachomoa, offer $136,000. Akapata Ubunge 2010 then 2015 akapata tena.

Kama kapigwa chini itakuwa worse sana kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…