Biharamulo
1. Dr Sebuyoya Nkurunzinza - 194
2. Ezra Chiwelesa- 113
3. King - 46
4. Ziyuni - 40
5. Kipeja - 35
6. Kasusura - 31
7. Sikitu - 17
8. Shangwe - 16
 
Safiiii umemtoa kimaso maso huyu buku 10 wa makonda khaaaaash
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kaishiwa nguvu hapo haamini anachokiona namba zimegoma,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani leo nna furaha isiyo kifani mweeh,. Afu vip huko home kwa jenista na Dr Ndumbaro matokeo yakoje.
 
Reactions: BAK
Sijayaona ngoja tusubiri.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani leo nna furaha isiyo kifani mweeeeeeh,. Afu vip huko home kwa jenista na Dr Ndumbaro matokeo yakoje.
 
Mbona umeishiwa pumzi. Mbona hufanyi updates za kutosha. Mfano, jimbo la Chemba hujaweka matokeo ya kura kwa wote walioomba. Weka matokeo yakiwa full.
Makonda kashapigwa za uso vijana wake humu wamebaki kulialia tu
 
Ni kweli huyu Andrew chenge amechaguliwa kweli ama ni figisu..#shame bariadi
 
Ni kweli huyu Andrew chenge amechaguliwa kweli ama ni figisu..#shame bariadi
Huko Bariadi hakuna kijana kichaa kama Kibajaji. Manake wasomi kama hawa wanakuwa awaangushwi na wasomi na wazee wenzao!!
 
Kumbe maendeleo yanaletwa kwa kuongea na Rais!
 
Wewe hauhusiki.
Wajumbe wa CCM ndo wahusika.
Hao wajumbe wa ccm wametokea mbinguni au? Hujui tunaishi nao na kukaa nao majumbani?

By the way una uhakika gani kama mimi siyo mmojawapo wa walio shiriki upigaji kura na kumkataa Bashite?
 
Heeeeh huyu Nkurunzinza imekuaje tena? kuna kila aina ya kituko khaaaaaaah.
Maeneo ya mipakani mwingiliano wa makabila ni mkubwa ni kitu cha kawaida kukuta Onyango jaluo mtanzania wa Tarime na Onyango jaluo MKENYA wa wa kisumu kenya

Lakini pia Tanzania mbona tunao kibao tu wahutu na watusi,Serikali ilitoa uraia kwa wahutu na watusi laki mbili wakimbizi waliokaa muda mrefu nchini miaka michache iliyopita.Tanzania tuna makabila mawili yaliyoongezeka ya watusi na wahutu

Sasa hivi ukikuta mtu anajitambulisha kama mhutu au mtusi usimshangae wapo kibao wamepewa urai na familia zao

Kenya imeongeza kabila jipya la wahindi kama mojawapo ya makabila ya Kenya likiwa kabila la 44

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…