Mpango kaula, kigoma mjini alikuwa ninani mtetea kiti?
 
Fred Lowassa aongoza kura Monduli #Matokeo ya kura za maoni Monduli ziko hivi; 1. Fredrick Lowassa ‐ 244 2. Julius Kalanga - 162 3. Wilson Lengima ‐ 149 #uchaguzi2020 #uchaguzimkuu #dailynewsdigitalupdates https://t.co/VeWMW5fuMR
 
Inategemea na sehem, kwenye wagombea wengi hukaa mda mchache
 
Hapa unadanganya. Hao jamaa wanashinda kwao tu huko walikozoeleka huwezi waleta maeneo mengine wakashinda. Huko waliko ni uswazi so wanafahamiana sana.na mgeni hawezi shinda huko


 
#UPDATES Dkt. Philip Mpango ameshinda katika kura za maoni Jimbo la Manyovu, Kigoma. 1. Dkt. Philip Mpango - 298 2. Albert Obama - 72 3. Abia Muhama - 26 #UCHAGUZI2020TZ #TUKUTANEOKTOBA #KilichoBoraKabisa https://t.co/yyGr8gOuxU
 
Kufuatia kwa mbunge mgombea anaposhindwa kwenye kura za maoni inawezekana ikawa amekosa kura za wajumbe (kura ya maoni)lakini mtu huyo huyo mnaemkata akawa ana maji wa wapiga kura kuliko huyo mnaempetisha.

Mnaweza mkata mtu kisa ameshindwa kwenye kura za maoni na akapitishwa yule alieshinda kwenye kura za maoni lakini huyo huyo aliepitishwa akawa hana mtaji wa wapiga kura kama yule mliemkata.kumbuka kura wanapiga ni wananchi wanachagua mtu wanaemtaka na sio yule mliemuweka eri kwa kuwa kashinda kura ya maoni,kwa hali hii kama ccm isipokuwa makini inawwza jikuta baadhi ya majimbo yakachukuliwa na upinzani kwa uzembe wao .
Ni hayo tuu nimewakumbusha
 
Mtihani ni mtihani yaani mawaziri wote wamefaulu isipokuwa mmoja tu tena yule mbobezi mwenye degree nne

Ngoja tusubiri kamati kuu.

Maendeleo hayana vyama!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…