Nimefurahi sana mwakyembe kupigwa chini. Huyu hastahili hata huruma! Nilienda kyela sokuini jamaa amekuwa mbunge kwa miaka kadhaa ila kyela hovyo kabisa... huyu hafai bora wanakyela wameamka...
 
Kudadadeeeki, mshaanza kutetemeka na hapo bado mepera mpera wenyewe ndiyo kwaanza unaanza.
Nawe naona unapumua sasa maana ulijua mdee kibarua kiota nyasi, Kawe anakuja gwajima, tulia wewe! Kwa raia ambao ndio wapiga kura mdee hana nafasi kwa gwajima.
 
Gwajima labda utampitisha wewe, wapiga kura wanamtaka Afuraha mjomba wa Jiwe
Nawe naona unapumua sasa maana ulijua mdee kibarua kiota nyasi, Kawe anakuja gwajima, tulia wewe! Kwa raia ambao ndio wapiga kura mdee hana nafasi kwa gwajima.
 
Tusubiri tuone je kama alieshia nafasi ya pili ndio atapitishwa au ni huyo huyo alienda kura ya maoni.
Wakimpitisha sawa ila hama haiba na hana mtaji wa wapiga kura. Jimbo la kawe lipo hadi mabwepande hadi huko salasala na madale huko ndani msigani na kazaroho...huko mwenye mtaji wa hawa wapiga kura ni gwajima! Wanamkua vizuri huko na ana wafuasi tele...kama watampitisha mwingine ni maamuzi yao ila wajue tofauti na hapo mdee wa kumtoa kawe ni gwajima.
 
Tatizo la maccm hawataki kukubali ukweli kuwa kwa kawe mh Mdee ndiyo kasha wekeza mtaji wake wa wapiga kura
Sasa kama kashindwa na kijana asiejulikana hapo CCM atamuweza mdee anaejulikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…