Hii nimeishuhudia huko Isimani kwao kiongozi mstaafu wa Bavicha mh Ole sosopi.

Watia nia watatu wa CCM wamepata kura 0 kwenye kura za maoni za watia nia ya ubunge.

Anayejua Tafadhali!

Maendeleo hayana vyama!
 
Hata matapta wanataka kwenda bungeni?? Daaah sijui nani ameondoa ''utakatifu'' wa bunge
 
Hii nimeishuhudia huko Isimani kwao kiongozi mstaafu wa Bavicha mh Ole sosopi.

Watia nia watatu wa CCM wamepata kura 0 kwenye kura za maoni za watia nia ya ubunge.

Anayejua Tafadhali!

Maendeleo hayana vyama!
Wanasema mpiga kura ni Mjumbe tu. Unaweza kuwa member but usiwe mjumbe wa ngazi husika. Niliuliza hili asubuhi nikajibiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…