Hili litakuwa jimbo moja wapo ambapo kamati kuu itapindua matokeo.
 
Vipi wewe mbona huweki ya babu Tale [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maana ulikuwa unasumbuka sana kutaka kujua matokeo yake.
Huyo naskia katanguliza mke sijui ni kweli, ila kwa mimi muislam sipaswi kuamini hayo mambo
 
Kuna wakati huwa ninaamini, kuna nati zimelegea kichwani mwa wajumbe wengi wa CCM. Kama sio utaahira basi ukichakaa umejaa vichwani.

Sasa mtu kama Kapuya au Mkuchika unawarudishaje tena kugombea ubunge?
Yaani katikati ya utitiri wote huo wa watu waliotia nia bado hivi vibabu vilivyochoka mnataka virudi bungeni?
Mmelogwa na nani?
 
Haya majimbo ambayo mshindi wa kwanza na wa pili hawajapigana gap kubwa huwa rahisi kiasi kwa wapinzani kuyachukua hasa kama aliyeshindwa akawa hana busara au hajakubaliana na matokeo ama ngazi ya juu ikimkata aliyeongoza.

BTW:TRA waanze kukata kodi kwenye mapato ya fomu za kugombea ubunge.
 
MC pilipili hajaambulia hata kura moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…