Jimmie Gatsby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 3,587
- 7,272
Mwana Simba mwenzio huyo lakini
Ngapi ngapi?Makonda kaachwa mbali...
Nimeshangaa kusikia Hawa Ghasia bado ni mbunge, khaHuyu nae aachie wengine imetosha ss
JESUS IS LORD[emoji120]
Mnashindwa kutupa ni ngapi kwa ngapiMzigo upo live Channel 10
Ila amemtoa jasho Zungu tofauti ni kura 40 tu.Sophia mgema tayari Chali, watu waliambiwa wàache tamaa
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Mkuu mbona bado... Naona ndo zinahesabiwa now..Hivi kuna mwana JamiiForums mwenye Furaha Leo hii kwa Paul Makonda ' Kutoswa / Kuangushwa ' huko Jimboni Kgamboni? Akhsante Mungu!!!!
Tafakuri nzuri sana hiyo bwan mbatizaji[emoji16]Nauliza tu kwa wale wataalamu wa sayansi ya siasa kwamba hawa wahamiaji waliotoka CHADEMA kwenda CCM walitumia mbinu gani wakati wa uchaguzi mdogo hadi wakawagaragaza vibaya washindani wao kutoka CCM?
Maendeleo hayana vyama!
Yaani huyu naomba maombi ya kumuondoa imetosha ss!Nimeshangaa kusikia Hawa Ghasia bado ni mbunge, kha
Pole dear kumbe wee uko na Makonda lol, hebu tuliza pressure baasBabe usiseme hivyo, nitaweka wapi sura yangu mimi, [emoji23][emoji23]
Nduli apigweeeee..!!Nakazia apigweee..
Hahaha uwiiiiiiiii tumerudi enzi za ukoloni kuabudu watu!Halafu lilihama kwa kutukana. Lini likiwa Chadema liliwahi kujidhalilisha hivi
View attachment 1511861
Nacheka kwa dharaaaauuu 🤣🤣🤣😷Sophia mgema tayari Chali, watu waliambiwa wàache tamaa
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app