Na kwa kuongezea Pitta Selukamba kashinda mara mbili na si Muislam
 
20 Julai 2020
MAULID MTULIA ATOA NENO BAADA YA KUPIGWA CHINI KURA ZA MAONI/AKUBALI MATOKEO


Aliyekuwa mbunge jimbo la Kinondoni jijini Dar es Salaam ndugu Maulid Mtulia amesema kuwa amekubali matokeo baada ya kushindwa kwenye mchakato wa kula za maoni kwenye jimbo la kinondoni kwa kuambulia kura 11.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…