Kutiwa cross inachagizwa na mambo mengi. Si kwamba unatiwa tu cross. Zamani michakato ilikuwa inaambatana na rushwa.
Hilo suala la kusema mwenyekiti kaamkaje ni mazungumzo tu baada ya habari sababu mwenyewe alishaongea sana tu kuwa watu walihamia upinzani sababu walikuwa wanakubalika ila waliondolewa kwa hila.
Hilo ameliongea sana kuliko hilo la kusema anakata. Bahati mbaya mmekremu la kukata tu.