Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Haya kumeshakucha tena La mgambo likilia ujue kuna jambo.

Kura za maoni kwa wabunge wa tiketi ya CCM zinaanza kupigwa leo lakini watanzania wataelekeza zaidi macho na masikio yao maeneo yenye upinzani mkali.

Kigamboni, Arusha mjini, Simanjiro, Kyela, Mbeya mjini, Mwibara, Misungwi, Same Mashariki, Tunduma, Tarime Vijijini na Ubungo ni baadhi ya maeneo yanayoangaliwa kwa jicho la tatu.

Ngoja tuone.

Up dates:

Maendeleo hayana vyama!
Arusha natamani apite apite Calist ama Gambo
 
Haya kumeshakucha tena La mgambo likilia ujue kuna jambo.

Kura za maoni kwa wabunge wa tiketi ya CCM zinaanza kupigwa leo lakini watanzania wataelekeza zaidi macho na masikio yao maeneo yenye upinzani mkali.

Kigamboni, Arusha mjini, Simanjiro, Kyela, Mbeya mjini, Mwibara, Misungwi, Same Mashariki, Tunduma, Tarime Vijijini na Ubungo ni baadhi ya maeneo yanayoangaliwa kwa jicho la tatu.

Ngoja tuone.

Up dates:

Maendeleo hayana vyama!
Pia majimbo ya Iringa, Tunduma, Momba, Hai, Moshi Mjini, Vunjo
 
NITAWASHANGAA WALE WATANI ZANGU WA KILOLO HUKO IRINGA WAKIUCHAGUA UKOO WA WEZI WA FEDHA NA MALI ZA CHUO KIKUU CHA IRINGA, ZAMANI TUMAINI UNIVERSITY. KITAKUWA NI KITUKO CHA MWAKA. NASIKIA SASA HIVI WAUMINI WANACHANGISHWA KUFIDIA WIZI ULIOFANYWA NA HUO UKOO WA WAGOMBEA UBUNGE KILOLO. KUMBE WALIIBA ILI ZIWASAIDIE KUFANYA KAMPENI ZA UBUNGE!
 
Ubungo Prof Kitila hakubaliki?!


Sidhani Kama anakubalika kushinda Cypirian Mrema na Emmanuel Maluli. Kwa sababu Mrema ni Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Ubungo na Maluli Katibu hamasa kata ya Makuburi.

Makuburi ni kata maarufu na yenye ushawishi mkubwa Wilaya ya Ubungo.

Na hawa vijana Mrema na Maluli ni maarufu sana Ubungo kwa sababu wamekuwa wakifanya kazi za chama kwa karibu na wanachama wa CCM pamoja na wajumbe wa mkutano mkuu wilaya ya Ubungo ambao ndiyo wapiga kura.

Kitila kimsingi Ni mgeni katika siasa za Ubungo.
 
Back
Top Bottom