Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Siasa za CCM Tanzania siyo ngumu. Ni kuangalia kila kata wajumbe wana mtizamo upi. Ikiwezekana wananunulika ama?
Mtu ambaye amesemwa ana tamaa na JPM, na amesaliti chama na Bashiru, halafu anunue watu? Kwa serikali ya JPM na takukuru na wanakuchukia halafu hela ikusaidie? Hata angeshinda kwa kununua kura, wangempiga chini kupitia Takukuru. Labda ashinde kihalali tu
 
Nasubiria gazeti reefuu la zama kujipa matumaini.

Steve ni kichekesho kingine anadhan ukaribu wake na wasanii utamsaidia kupata ubunge
Nilimwona wakati anajieleza eti ni mwanaharakati na kasaidia watu wengi. Sidhani hata kama anajua jimbo la kigamboni lina kata ngapi. Siasa ni field work,kujichimbia mizizi kata zote.
 
Kigoma Mijini waislam ni wengi kwa maana hiyo wao ndiyo waamuzi wa nani awe mbunge.

Ni Kama Zanzibar. Pale Mkristo akigombea hawezi kushinda.

Kwa hiyo usitoe povu sana wakati mwenzako kasema ukweli
Peter Serukamba alikuwa Mkristo na alishinda hilo Jimbo mara 2 kupitia CCM kabla ya kubadilishanana Zitto. Hakuna mkate mgumu mbele ya chai.

Vv
 
Mtu ambaye amesemwa ana tamaa na JPM, na amesaliti chama na Bashiru, halafu anunue watu? Kwa serikali ya JPM na takukuru na wanakuchukia halafu hela ikusaidie? Hata angeshinda kwa kununua kura, wangempiga chini kupitia Takukuru. Labda ashinde kihalali tu
Watu wameanza muda mrefu,mtu anaanza kunua watu tangia 2015.Makonda hawezi kurupuka.
 
Back
Top Bottom