Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Kapuuzi kweli kale,

Ndio hata humu huwa nasema kila siku kwamba wanaomshabikia Lisu mitandaoni siyo wanaopiga kura!

Kiufupi kura hazipatikani Twitter, insta, facebook na jf,
Chadema itawachukua miaka elfu kugundua hili
Halafu kauli zao unazijua? Eti Watanzania wanamuhitaji fulani, au Fulani anaungwa mkono na Watanzania wote, Wakati wapiga kura wanachora tu.
 
MKUUU VINGINE JOONGEZE
TTL KURA 549..(324+33+198)???
tuliosoma addition maths tusaidiane

Asante sana Mkuu, Asante sana Mwenyezi Mungu lakini Asante yangu Kubwa ni kwa Kamati ya Roho Mbaya ya CCM Kigamboni. Nina Furaha!!!!!

Hahahaaaaa MENGI yanakuja
 
Back
Top Bottom