OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Haya matokeo ya Kiga yangekuja wikend watu tukaleweeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado gambo na sendekaMtolea Temeke chaliiii
Katika Uchaguzi Huru na wa haki, hata Magu anapoteza UchaguziNakumbuka kabisa ambavyo mlinihakikishia kuwa Mtu anaenda ' Kumalizwa ' kwa namna ya Kipekee kabisa na hatoamini Macho na Masikio yake nikawa ' nawabishia ' hatimaye kile kile mmekifanya. Kwa Furaha Kubwa niliyonayo kwa Kazi yenu nzuri nashindwa Kuendelea Kuandika hapa ila naomba mkubali na mpokee hizi Zawadi za Wanyama Mbuzi Watano ili mkachinje mle huko Makwenu na Familia zenu.
Hata Ubebwe vipi, utumie Vitisho gani na utumie Pesa zako za Dhuluma ila Mwenyezi Mungu akisema NO huwa anamaanisha NO mazima hasa.
Wameunga mkono wenzioHivi hawa wanaopata kura 0 inamana hata hao hawajajipigia kura au?
Ushindi upi? Maana hapa majina kibao.
Hv hajakatwa kweli?!Siasa inahitaji ngozi ngumu siyo kulialia kama Lijualikali
Watu wa Buza tumemchokaMtolea Temeke chaliiii
Mungu amemlinda dhidi ya jammbazi#BREAKING: Aliyekuwa Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile @DocFaustine ameibuka mshindi wa kura za maoni Kigamboni kwa kupata kura 190, mshindi wa pili ni aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa DSM Paul Makonda mwenye kura 122.
Nitaweka wap uso wangu maana nilikubishia sana.
[emoji1787][emoji1787] Kila mtanzania ale kuku mmojaTwende na Hashimu Rugwe kwa lishe bora .
Woyooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Jifarijini tu...
Tuliwaambia..
Eti ni PM ajaye.. Like serious!!!?
Na ole wake Magufuli aingilie maoni.
Cha msingi ameshindwa, na akimteua tutakua na uhakika kwamba anabebwa.
We mkuu wa mkoa kama kazi zako zilikua vizuri, utashindwaje kura za maoni..
Tangazo, nauza dawa na kukuza makalio[emoji1][emoji1]