Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Kura za Siha hapa zilionyesha kuna Engineer ndiye aliyeshinda. Sasa hivi zinaonyesha Yule Dr ndiyo kashinda. Nini kimetokea au ilikuwa makosa ya kiuhandishi?
 
Watu walipigwa sana pale kinondoni kutetea kula zako.afu akaja akawasaliti.leo kaambulia kura 11 tu.[emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20200720-200524_Samsung%20Internet.jpg
 
Nauliza tu kwa wale wataalamu wa sayansi ya siasa kwamba hawa wahamiaji waliotoka CHADEMA kwenda CCM walitumia mbinu gani wakati wa uchaguzi mdogo hadi wakawagaragaza vibaya washindani wao kutoka CCM?

Maendeleo hayana vyama!
Ndio kusema una utani na Mtolea na Mtulia?
 
Ukitathimni matokeo ya uchaguzi wa jimbo la kigamboni ,Nzega mjini,Mtama utaona wakongwe waliotetea majimbo yao , Bashe na Nape Nauye wamewaacha mbali sana wapinzani wao ,mfano Nape anakura Mia nne na ushee anayemfatia Ana kura miambili na Bashe kapiga kura miatatu na ushee, anaemfatia ana kura kumi na mbili .

Kwa kigamboni Ndugulile alitakiwa amuaache mbali sana Makonda ,kwa sababu ni mbunge jimbo hilo kwa miaka 10,halafu anatofautiana na mgeni kwa kura 68, hii si nzuri kwake. Kama ilivyoada kwa ccm kuongoza kura za maoni sio tiketi ya jina kurudi.


Safari ndio imeanza kuhusu hili jimbo la kigamboni,wagombea wakapitishwe kwenye kamati ya wilaya ya siasa ,kamati ya mkoa ya siasa kisha yapelekwe Dodoma kwa wazee cardinal rule ndio jina lirudi. Wale mnaompinga Makonda msishangilie kwa sasa, baadae msije kujikuta mnasonya
Kura 68 siyo nyingi kwenye kura ngapi?tuanzie hapo
 
Ndugu unamjua Koola?
Huyo Engineer ni mwamba kweli kweli huko CCM Vunjo. Kuna watu wengi huko Uchagani wameshangaa kumuona Kimei ameweza kuleta huo ushindani.
Nina uhakika CCM hawataweza kumkata Koola, hata iweje. Kama Magufuli anampenda sana Kimei ili ampe waziri, basi atasubiri kuja kumteua kwa ubunge wa viti maalum ikiwa Magufuli atautwaa tena urais.

Lakini fahamu tu hili, hakuna mchaga atayevuna uwaziri chini ya utawala huu wa Magufuli, sembuse uwaziri wa Fedha.
Sijawahi kumjua wala kumsikia huyo Engineer.. Na unavyosema hawawezi thubutu kumkata ni hizo kura 9 za ziada??

Anyway ngoja tuone..
 
kuna mdau anadai sababu ya Ndalichako kukimbilia Kasulu eti kuna wazee wa Kiislamu ujiji ndio wamemfanya akimbilie Kasulu , ndio nikamuuliza aniambie kwa lipi hao wazee wawe na nguvu za kumkimbiza Prof Ndalichako
Huyo mdau yuko sahihi hata asipokujibu

UJIJI acha paitwe ujiji tu
 
Back
Top Bottom