Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Hii ngoma bado mbichi...wale ambao walikua wabunge na wameshinda ila sio kwa zaidi ya asilimia hamsini ngoma kwao bado mbichi sana.. hapa ndio kura ya maoni awamu ya pili inapokuja kutoka vikao vya ndani...
Makonda ameshafeli hakuna namna.

Tamaa mbele mauti.........? Aliuliza Prof Kabudi

CDF naye alitoa angalizo.

RC Albert Chalamila alimalizia kwa kusema......Asiyesikia la mkuu!
 
Nimekuwa nikifuatlia mchakato wa wagombea Ubunge nchi nzima kwa hakika kwa utaratibu huu wa kupiga kura na kuhesabiwa kwa uwazi,Mheshimiwa umekuwa mshindi na baba wa demokrasia.

Wale waliokuwa wakitia mashaka kuhusu uwezo wako wa kusimamia demokrasia kwa hili naamini wamekubali.

Uchaguzi huu utapunguza malalamiko na sababu za kuzua au visingizio kuhusu kushindwa kwa wagombea. Na kauli yako kuwa hujambeba mgombea imeongeza thamani ya mchakato.Haya ni mabadiliko makubwa.

Bravo safari hii upande wa pili wana Kazi kubwa God Bless You.
 
00494674-9aaf-4cba-9612-75405514b8ae.jpg
 
Alisimamia misingi yake ya utabibu hivi unataka siasa kila mahali? Magufuli kama yuko sahihi basi ni katika kubashiri tuu ila in reality yy Ndugulile kama Daktari aliitendea haki fani yake.
Na mungu amemsimamia kwa kushinda angalau mbele ya macho ya watanzania, akikatwa hayo mengine
 
Nahisi baada ya Uchaguzi biashara ya CCM itakuwa hamna au wataonunuliwa watahitaji dau kubwa,sababu baada ya miaka 5 kuisha hamna aijuae kesho yake mda wa kampeni,funzo kubwa
 
Back
Top Bottom