Mimi.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,120
- 3,059
Anajua mengi sana ambayo dikteta hayuko tayari yaanikwe hadharani hivyo ni lazima acheze naye karibu au amnunue kwa pesa ndefu. Bashite anajua bila ajira na huu uchumi wa kati 😂😂 ni lazima atakufa njaa na hivyo kuanza kuuza ASSETS zake alizozipata KIHARAMU.
Ayaanike hayo anayoyajua hadharani kuusu mh Raisi ndio atakapojua TISS wamelala au wapo kazini
Watamshughulikia kisawa sawa,Makonda hawezi kushindana na serikali
Kwa sasa atulie awe mpole, ikiwezekana atafute shule nje ya nchi Akasome huku akitafakali Hatima yake kisiasa