Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Mathayo katisha katika jimbo la musoma Mjini

Katika Jimbo la Musoma Mjini, Verdastus Mathayo ameongoza kura za maoni kwa kupata kura 220, akifuatiwa na Juma Mokili ambaye amepata kura 122, huku wagombea wengine 34 wakipata kura sifuri kati ya watia nia 64.
 
Sasa hivi ataanza kukumbusha alivyo lishwa sumu ili kuvuta huruma za wananchi
Banyambala hawataki mambo ya kijinga jinga kujikweza kuwa yeye ni bora kuliko waliomchagua!! Sasa aende akale hizo degree zake za mature age!!
 
Adui muombee njaa na maradhi ya akili
Insemekana mshindi ni mpwa wa Baba.
Mshindi wa pili nae ni mzuri. Alikuwa mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki.
Gwajima hana kitu. Sana sana atagawa kura kutokana na imani za watu na madharau yake.
 
Unatumia kigezo gani kusema Tulia lazima ashinde? Kwanini Sugu asishinde?
Mkuu, Sugu kushindwa lazima figisu ifanyike ya uhakika. Yawezekana atakayetangazwa mshindi akawa Dr Tulia lakini lazima kila aina ya hila ifanyike.
 
Taarifa ya uchaguzi wa kura za maoni kumchagua mgombea atakayepeperusha bendera ya CCM jimbo la Rorya .. mkutano uliofanyika katika uwanja wa ofisi ya CCM wilaya Rorya leo 21.07.2020 kama ifuatavyo.

Jumla ya wagombea wote ni 49 kati yao wakike 02.

Idadi ya Wapiga kura jumla 772
Kura zilizoharibika jumla 01

1.AGWEYO MUSA NIKODEMOS =02

2. ARIRA MAGO ROBART= 00
-

3.ANDATA APIYO PHILIPO= 01

4. CHEGE WAMBURA JAFARI = 152


5. EDWARD FREY = 07
-

6. EVARISTI MOTETE JUVENILISI= 80
-

7.GASPAR BOSCO PAUL = 20
-

8. IGOGO JOHANES DADY = 00


9. HONDE SEBASTIAN MAHAMBA= 00


10. JOHN MOTERA JUMA.= 03


11.KASINGA SIAGI GEORGE = 05
-

12. FREDRICK MAGADI = 39


13. MAGANYA ABDUL = 50

14. MAGONGWE MOKAMI DEOGRATIUS = 02


15 MAKONG'ANG'A ALOYCE =02


16. IRINE OLANDO MAKONGORO= 15


17. MARANDI PETER = 01

18. MARWA WILBARD MSAFIRI = 09
-
19. MASAHI CHRISTOPHER MASAHI=06
-

20. HARSON OMBOGO ONYONA= 13

21.MAGIRE OMBUO = 03
-
22. MIRUMBE SASI WAMBURA= 10
-
23. MONYO BUSIRO JOHANESS = 13
-
24. KICHERE CHACHA MUSA = 02

25. NGAITA WAMBURA EDWARD = 08

26.JULIAS WILLIUM NYAHONGO = 26

27.NYAMBITA PHILIP NI MGONJWA = 00

28. OKWASA ORASI ERICK= 01

29. OCHAI OTIENO CHARLES - HAYUPO= 00

30. MIRIUM ROBART ODEMBA = 00

31.OJWANGI OJOGA KENEDY= 03

32. MUSA LAMECK OKELO= 02

33.OLUOCH TOM EZEKIEL= 06

34. OLWERO GENGA = 121

35.OMOLO GALUS SOS = 01

36.OMOLO NICHOLAUS= 00

37.OSOGO MATIKO OBUYA= 05

38.OTIENO SAMWEL JANES = 01

39.LEONARD M OTUOMA = 52

40.OWINO ANG'IELA AMAINA= 22

41.LUSARA ABUYA = 03

42.SAMAEA MATIKO HAMIS = 10

43. SANYA MWITA CHRISTOPHER = 09

44.. SARONGE ODADA TIMON 06

45.PETER LEONARD SARONGE 04

46. WAMBURA CLIPHOD MTAMA = 04

47.WAMBURA MAKAMBA CHACHA = 01

48.WEMBE JEREMIAH DAVID = 52

49. WILLIUM JAMHURI FABIAN= 03
Nawaona vijana wangu wamejaribu hapo (Fred Magadi na Wembe Jeremiah), hamtatoka bure hakika.
 
Back
Top Bottom