tumekuzoea na maandishi yako marefu ambayo ni pointless ,soma kisa cha lazaro na tajiri kwenye biblia akisubiri makombo ya chakula , unajifanya lazaro kusubiri makombo
 
Uchaguzi Mkuu huu ni tofauti na chaguzi kuu zote zilizopata kutokea Tanzania.
1995 Mrema alikua CCM mstaafu
2005 Slaa alikua CCM mstaafu
2010 Sala tena
2015 Lowassa alikua CCM mstaafu.


2020 tume mpaka mpinzani ambae hajawahi kuwa CCM. Anaezijua sheria za uchaguI kwani alishasimamia kesi nyingi za uchaguzi.

This ia in unique election had never happened before.

Mungu husimama na anaesimamia haki. What I can see in Lissu is the man who wantsto make changes for the better in our country.
 
Eti mamilion [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mleta mada Lisu ni debe tupu hafiki popote yule.

Anachangamsha tu uchaguzi
[/QUOTm


Mbona unaweweseka? Tulia dawa iwaingie vizuri, awamu hii hamtaiba kura hata moja.
Ng'ombe atachinjiwa alikoangukia na kama kulia tutalia wote kudadeki!
 
Hawa watoto Wa miaka mitano mnawasumbua sana hawajui lolote,msiwatoe madarasani ili waongeze vichwa,bado wako chekechea msiianze kuwafundisha ufisadi wakiwa na umri huo..
 
Kichwa cha habari kingepaswa kuwa " Yesu yesu yesu na mariaaa Asee yani Huyu Tundulisu ni hatarii anaungwa mkono na Malaki na mamilionyi ya watu yesu ruwaaa" .... in mangi voice
 
Yani ukisema magufuli ni dicatator naamini ata watoto wako watakushangaa kwa ukichwa panzi ulionao.
 
Dada yangu Sky Eclat , naipenda objectivity yako na jinsi unavyojenga hoja, Magufuli ndiye chaguo la Mungu kwa Tanzania, Mungu hawezi kufanya machaguo mawili kwa nchi moja!.
Rais Magufuli, so far, is the best president this country has ever had. Msikivu, ana upendo na huruma. Atabarikiwa sana. Tanzania itabarikiwa!
p
 
Hakuna chochote ulichokiona kwa lissu zaidi ya mahaba naye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…