Uchaguzi 2020 Ahadi na Sera za Tundu Lissu katika Uchaguzi Mkuu 2020
Dada yangu Sky Eclat , naipenda objectivity yako na jinsi unavyojenga hoja, Magufuli ndiye chaguo la Mungu kwa Tanzania, hawezi kufanya machaguo mawili kwa nchi moja!.
Rais Magufuli, so far, is the best president this country has ever had. Msikivu, ana upendo na huruma. Atabarikiwa sana. Tanzania itabarikiwa!
p
Haha 😂 😂 hatuchaguliwi Rais mwaka huu, huyu anaesema hakuleta tetemeko la ardhi na tusipochagua CCM haleti maendeleo. NEC na TISS mjiandae na nguvu ya wananchi.
 
Haha [emoji23] [emoji23] hatuchaguliwi Rais mwaka huu, huyu anaesema hakuleta tetemeko la ardhi na tusipochagua CCM haleti maendeleo. NEC na TISS mjiandae na nguvu ya wananchi.
Kwani Tunisia hapakuwa na vyombo vya usalama? Ni suala la muda tu, wanaona wananchi ni wajinga kuwapangisha mafoleni kupiga kura then vyombo vya usalama vinawachagulia Rais..
 
Inasikitisha Sana. Ila wakae wakijua siku zote ya kuwa nguvu ya umma inapoamua jambo daima huwa haishindwi hata mara moja. Jibuni hoja zake kama vile anavyozitoa hadharani. Hizo njama mnazompangia hazitafanikiwa.

Kama ni wivu kwa kuwa Tundu Lissu ameonekana kuwa na mamilioni ya wafuasi hawataweza kuififisha nyota yake kwa mtindo huo.

Watanzania wameamua safari hii wapo na Tundu Lissu katika boti moja wakiwa naye hadi destination au mwisho wa safari yenyewe ambapo ni pale mjengoni iwe ni Dar au Dom. Viva Tundu Lissu.
Kipindi kama hiki ndo ungeipenda TISS ya mzee Mahiga na Dk Kitime waliokuwa wakifanya mission za chini kwa chini Raisi anapewa taarifa nwishoni kabisa hata kama jambo linamuhusu.

Yaani saivi TISS wanatakiwa kuwa wameshaweka ulinzi nyumbani kwa Lissu na walinzi wengine wa kutembea nae maana saivi Lissu ni alama ya usalama na utulivu kwa taifa. Lolote litakalotokea kwake ni threat to national security.

Kwaheri CCM, Karibu Chadema 2020-2025. Karibu Tundu Antiphas Lissu uweke katiba mpya, mfumo mpya wa utawala Tanzania na taasisi imara za kusimamia mendeleo na utawala bora Tanzania!
 
Mkuu Sky Eclat , hivi ndivyo Watanzania tulivyo, hata ile 2015, kuna watu kama wewe, walisema hivi hivi kumhusu Lowassa, na watu, nikiwemo mimi, tukapanda MV Lowassa, lakini mwisho wa siku waliishia kulia na kushangaa. Hayo makundi ya watu kwenye mikutano ya kampeni sio kura!.
Keep hopping for the best, but prepare for the worst!.
Lissu ni mgombea tuu wa urais, lakini rais ni Magufuli!.
P
Uchawi tu
 
Lissu ni kama vile ameshashinda uchaguzi huu kwa hoja zake 7 ambazo zimepata nguvu na kuaminiwa na jamii. Na hii inajidhihirisha maeñeo mbalimbali ambayo amepita kufanya kampeni.

Lissu ni kama vile mhubiri wa injili, kila eneo analopita shetani anapoteza nguvu na neno linabaki mioyoni mwa watu. Maeneo ambayo bado hajapita ndio yamebaki kuzungumzia habari za CCM, lakini yatakapofikiwa na habari njema ya injili ya wokovu na ubatizo wa maji mengi na wao wataachana na CCM.

Hoja 7 ambazo Lissu zimemwongezea nguvu toka kwa makundi mbalimbali ambazo CCM wamekosa majibu yake

1. Vitambulisho vya wajasiliamali;

Ni hoja ambayo imepokelwa vizuri na watamzania, kila kona.CCm wameshindwa kujibu hadi sasa, wamebaki tu kudema dema kwenye majibu yao kwamba magufuri anawapenda wamachinga, Mara vitambulisho sio lazima ,wakati wamevitungia na sheria tayari. Lissu shikilia hapo hapo kwa mpaka waeleze ni lini wamachinga walioomba wauziwe vitambulisho visivyo na picha wala jina

2. Maslahi ya watumishi, nyongeza ya mshahara.

Hoja ambayo haijajibiwa hadi Leo, na ccm wamekosa majibu wakaeleweka kwa wananchi. . Nyongeza ya mshahara ni takwa la kisheria na sio takwa la mtu . Alisikika Mara moja akisema hajapandisha mshahara ila edhibiti mfumuko wa bei, na akapata majibu yake toka kwa Lissu kwamba bei ya sukari ya 2015 na Leo 2020 ipo sawa, ? "Wananchi hapana" Lissu " anatuambia nini. Baba shikilia hapo hapo wameshalegea na hawana majibu

3. Suala la pension na kiinua mgongo kwa wastaafu

Watu wengi walikuwa gizani na suala lakini baada ya kulitolea maelezo sasa nalo limepata hamasa miongoni kwa watanzania kwamba kuanzia mwakani wastaafu hawatapata pension zao zote baadala yake watapata nusu. Hilo limeonekana kuwa chuki kwa makundi hayo na CCM wameshindwa kutolea majibu ya kueleweka . Lissu shikilia hapo hapo wamesha nyooka tayari

4. Ujenzi wa uwanja wa ndege Chato na hifadhi ya wanyama

Hoja hapa sio ujenzi ,hoja inayoonekana hapa ni namna mradi unavyotekelezwa kwa ufisadi mkubwa wa kupeana tenda na Ndugu yake Mayanga . Mpaka Leo hoja hiyo Magufuli na CCM yake wameshindwa kuitolea majibu, kwa nini aingilie mchakato wa tender na kuagiza apewe ndugu yake na watu sasa huku wanasema ni kama mtu ameamua kupitishia di kwa ndugu yake. Amenipigia pasi kwa mbele ,na suala la hifadhi pia ndio hawana majibu kabisa .Baba Lissu shikilia hapo hapo wamesha nyong'onyea tayari

5. Suala la ununuzi wa ndege

Hii hoja ilianza kwa kasi mwanzoni kunadiwa na ccm lakini baada ya Lissu kuanza kushughurika Nayo wameshakimbia. Lissu amezungumzia masuala ya Faida na mchakato wa ununuzi wa midege hiyo imegubikwa na ufisadi mkubwa na kwamba anayejua ni Magufuri na mjomba wake Dotto James. CCM mpaka Leo wamepoteana na ajenda ya ndege sio ajenda yao tena kwenye kampeni zao.Lissu wabananishe hapo hapo kwenye kona washindwe pa kutokea.

6: Ukosefu wa Ajira kwa makundi mbalimbali

Eneo hili limepata uungwaji mkono mkubwa toka kwa makundi mbali mbali ya vijana. Tangu 2015 ajira zimetolewa kwa walimu wa sayansi na kada za afya. Kada nyingine hazijaguswa kabisa . Hoja yake hapa magufuri imebaki kuwa ni watu wajiajiri wakati yeye mtoto wake Jesca amemwajiri wizara ya mambo ya nje, mwingine amempa RAS iringa .hao walishindwa kujiajiri hadi awaajiri. Watoto wa wanyonge ndio wanaohimizwa kujiajiri. Hapo napo Lissu shikilia hapo hapo pana tija na kundi kubwa la wahanga

7: Waathirika wa vyeti feki
Hii ni hoja ambayo imepata kusemwa na Lissu, kwamba hao walio wa ajiri ni wao ccm na kinachozungumzwa hapa ni watu kufukuzwa kama mbwa bila kupewa mafao yao, ambayo wamechangia kwa miaka mingi halijulikani lilipo enda. Hao ni watanzania wenzetu na sio wakenya wala wamalawi, wamelitumikia na kutufundishia watoto wetu kwa miaka mingi hadi wengine wamekuwa maprofesa. Michango yao ipo wapi kama hawajapewa, Magufuri na ccm yao iliyojaa roho ya kuumiza watu waseme wamepeleka michango yao ya pension waliyokuwa wanachangia kwenye mifuko ya hifadhi
8: Magufuri amesambaza wasio julikana kila kona

Hii inasababisha watu ukiikosoa tu serikali unakamatwa soon.
Wasio julikana inafanya watu tunashindwa kunya wala kukojoa usiku

Nashauri Lissu sasa kwa kuwa kwenye miji yote na vijijini amefanikiwa kuiteka sasa ajikite katika kuwaaminisha watanzania ni namna gani walinde kula zao. CCM wamebaki na mbinu moja tu ya kuwategemea wakurugenzi na NEC, ili wawavushe hapo walipo kwenye tope kwenda nchi kavu. Katika hotuba zake sasa ajikite kuwahimiza wananchi kulinda kura zao, hii ngoma imeshaisha . Wakurugenzi na hawa watendaji kata ambao wamepewa maelekezo marafuku kuwatangaza wapinzani kwenye maeneo yao ndio imekuwa mwiba na Wapinzani wasipo jipanga vizuri mwishoni wataumizwa na hao watu.

Ushauri wangu Lissu sasa ajikite katika kulinda kura. Watendaji wa kata si wa kuchekewa na kuendelea kuachwa kwani kwanza ni watu wa chini mno, lakini ni watu ambao wameshapokea vitisho, hivyo inabidi kazi ya ziada ifanyike. Umati kwa umati Huo Huo wanaojaa kwenye mikutano yao wahimizwe pia wawepo hivyohivyo kwenye kulinda kulinda kura zao kwenye vituo vya kata na ofisi za wakurugenzi. Kwa umati ule wa mwanza wakifanikiwa kukaa kwenye kata na ofisi za wakurugenzi kazi itakuwa imeisha.

Kama una hoja nyingine ambayo unaona bado Lissu bado hajaizungumzia ambayo inaweza kuteka mioyo ya watu iweke hapa ,lakini pia unaweza kupendekeza mbinu sahihi ya kulinda kura

Chaaaaao, tuonane 28 oktoba
Mnajifariji. Kura zipi hizo za kulindwa?
 
Hawa watoto Wa miaka mitano mnawasumbua sana hawajui lolote,msiwatoe madarasani ili waongeze vichwa,bado wako chekechea msiianze kuwafundisha ufisadi wakiwa na umri huo..
Ligombea lao maccm, badala ya kuelezea sera zake limebaki kuomba lipewe vitoto vidogo viwe wake zake.

Pole sana Mama Janeth kwa hili janga la karne
 
Inasikitisha Sana. Ila wakae wakijua siku zote ya kuwa nguvu ya umma inapoamua jambo daima huwa haishindwi hata mara moja. Jibuni hoja zake kama vile anavyozitoa hadharani. Hizo njama mnazompangia hazitafanikiwa.

Kama ni wivu kwa kuwa Tundu Lissu ameonekana kuwa na mamilioni ya wafuasi hawataweza kuififisha nyota yake kwa mtindo huo.

Watanzania wameamua safari hii wapo na Tundu Lissu katika boti moja wakiwa naye hadi destination au mwisho wa safari yenyewe ambapo ni pale mjengoni iwe ni Dar au Dom. Viva Tundu Lissu.
Waanze kufungasha vifurushi vyao mapema,kidogokidogo muda bado ungalipo.Kwani wakizidi kuchelewa watakumbuka muda umeshawaacha.Niushauri tu lakini.
 
Debe tupu wenzio wanajiharishia mpaka wanajitafutisha vijisababu wamdhibiti wanasahau hata kanuni walizoziandika wenyewe kuhusu maadili ya uchaguzi!
Pole sana! Inaonesha umeanza kufuatilia siasa juzi baada ya Lisu kurusi kutoka ubelgiji
 
Hivi mzee unadhani waTz hawako dynamic?
Kuna makundi tunatumia free mode(freebasic) miezi miwili hatuweki vocha,tukisikia sentence kama hiyo kwako hapo chini huwa tunatamani kimbunga kiwachukue mpelekwe Equatorial Guinea mkaone matunda ya udictator uliokomaa
Huwezi kumuelewa Pasco!

Lkini utamuelewa tu matokeo yakitangazwa
 
Fao la kujitoa nalo ni sindano kali kwa ccm. Limesababisha umaskini kwa vijana waliokuwa na ndoto za kujiajiri. In fact ni ujambazi wa kung'ang'ania hela za mtu kwa lazima wakati mwenye hela anataabika.
Hii hoja ya FAO la kujitoa haipewi coverage kubwa Ila ni hoja nzito Sana. FAO la kujitoa linamhusu kila mwajiriwa hivyo linapaswa liwekwe vzr ili kila Mwajiriwa aelewe linamuathiri vipi.
 
Dada yangu Sky Eclat , naipenda objectivity yako na jinsi unavyojenga hoja, Magufuli ndiye chaguo la Mungu kwa Tanzania, Mungu hawezi kufanya machaguo mawili kwa nchi moja!.
Rais Magufuli, so far, is the best president this country has ever had. Msikivu, ana upendo na huruma. Atabarikiwa sana. Tanzania itabarikiwa!
p
Mkuu kama vilevile mapenzi yako yapo kwa Gwanjboy aka kondoo f.ucker kule Kawe usituchoshe ..let a leader from majority to govern this country .Yule pandikizi lenu bila chama then na proper vetting baada ya uchaguzi likasema "tumwachie mungu tuu kila mtu anajuwa nilishinda"mwisho likarudi pangoni huko ....Huyu Mr Lissu ni simba aliye jeruhiwa na risasi 16 hakuna cha mungu tumuachie amesema pia Mabeberu wote wapo full tank kwa backup ...otherwise expect bloodbath zaidi Mkapa-Zanzibar unless election will be free and fair.
 
Mkuu Sky Eclat , hivi ndivyo Watanzania tulivyo, hata ile 2015, kuna watu kama wewe, walisema hivi hivi kumhusu Lowassa, na watu, nikiwemo mimi, tukapanda MV Lowassa, lakini mwisho wa siku waliishia kulia na kushangaa. Hayo makundi ya watu kwenye mikutano ya kampeni sio kura!.
Keep hopping for the best, but get prepared for the worst!.
Lissu ni mgombea tuu wa urais, lakini rais ni Magufuli!.
P
Mkuu kama vilevile mapenzi yako yapo kwa Gwanjboy aka kondoo f.ucker kule Kawe usituchoshe ..let a leader from majority to govern this country .Yule pandikizi lenu bila chama then na proper vetting baada ya uchaguzi likasema "tumwachie mungu tuu kila mtu anajuwa nilishinda"mwisho likarudi pangoni huko.

Huyu Mr Lissu ni simba aliye jeruhiwa na risasi 16 hakuna cha mungu tumuachie amesema pia Mabeberu wote wapo full tank kwa backup ...otherwise expect bloodbath zaidi Mkapa-Zanzibar unless election will be free and fair.
 
Back
Top Bottom