Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CDM 2015 hawakuwa na mgombea walikuwa na wakala wa kura za urais(Lowasa)Ukimsikiliza Lisu. Ukiendelea kumsikiliza Lisu ni wazi utaona kwamba Lowassa 2015 hakuwa mgombea bali alikuwa mzugaji. Huyu jamaa wa sasa ana akili iliozidi, the man is genius. Katika press release yake ya leo Arusha aisee huyu ndio mgombea tuliokuwa tunamwitaji. Mimi ni CCM damu damu but namkubali Lisu na anavyosaidia kunyosha mambo. We need HAKI katika hii nchi na kubwa zaidi mazingira bora ya kupata chakula mezani. Private sector imekufa. Uchumi umekufa. wahenga wanasema kuuwa uchumi uchukua siku moja au mbili ila kuijenga uchukua zaidi ya miaka 10 mpaka 20. Marekani tokea 2008 uchumi wao ulivyoyumba mpaka sasa bado wanarecover recover. Sasa huyu Jamaa kauwa uchumi kabisa plz hata tukimpa miaka 5 tena hatoweza kuurekebisha. Only, solution is kuanza upya
Mm nawashangaa sana wanaomfananisha TL na ALUkimsikiliza Lisu. Ukiendelea kumsikiliza Lisu ni wazi utaona kwamba Lowassa 2015 hakuwa mgombea bali alikuwa mzugaji. Huyu jamaa wa sasa ana akili iliozidi, the man is genius. Katika press release yake ya leo Arusha aisee huyu ndio mgombea tuliokuwa tunamwitaji. Mimi ni CCM damu damu but namkubali Lisu na anavyosaidia kunyosha mambo. We need HAKI katika hii nchi na kubwa zaidi mazingira bora ya kupata chakula mezani. Private sector imekufa. Uchumi umekufa. wahenga wanasema kuuwa uchumi uchukua siku moja au mbili ila kuijenga uchukua zaidi ya miaka 10 mpaka 20. Marekani tokea 2008 uchumi wao ulivyoyumba mpaka sasa bado wanarecover recover. Sasa huyu Jamaa kauwa uchumi kabisa plz hata tukimpa miaka 5 tena hatoweza kuurekebisha. Only, solution is kuanza upya
Mwepesi kwa maneno yako, ila mlivunja mpaka katiba yenu kwa kumweka mtu asiye mwanachama kuwa mgombea Urais kwa fungu alilolitoa.Ukimsikiliza Lisu. Ukiendelea kumsikiliza Lisu ni wazi utaona kwamba Lowassa 2015 hakuwa mgombea bali alikuwa mzugaji. Huyu jamaa wa sasa ana akili iliozidi, the man is genius. Katika press release yake ya leo Arusha aisee huyu ndio mgombea tuliokuwa tunamwitaji. Mimi ni CCM damu damu but namkubali Lisu na anavyosaidia kunyosha mambo. We need HAKI katika hii nchi na kubwa zaidi mazingira bora ya kupata chakula mezani. Private sector imekufa...
Kama hafai mbona mwenye chama alimwamini kugombea?. Kura alizopata lowasa, Lissu hata nusu hata pata.Lowassa alikuwa hawezi kusimama jukwaani kwa dakika 10 bila kuanguka. Alikuwa anatumia jina tu la zamani. Anasimama jukwaani na kunyoosha mkono basi. Kuwalinganisha Lissu na Lowassa ni kulinganisha vitu 2 tofauti kabisa.
Bora wewe mwanaccm umekiliUkimsikiliza Lisu. Ukiendelea kumsikiliza Lisu ni wazi utaona kwamba Lowassa 2015 hakuwa mgombea bali alikuwa mzugaji. Huyu jamaa wa sasa ana akili iliozidi, the man is genius...