Sijaona la maana hapo, anaongea mambo yasiyo na uhalisia
 
Magufuli anatosha, hizi zingine mbwembwe tu
Ila hizo hoja zote ni nzito sana!! Na tukisema ukweli awamu ya 5,zote imezipuuzia kabisa, kama wananchi wangekuwa wanasikiliza sera na kuzifanyia kazi haki ya mungu, mapeeema sana!! Ila kwa kuwa ndio wale wale.... Ila hakuna mtanzania hata mmoja ambaye haguswi na hoja hizo hapo juu!!! Hizo hoja ni kama maji, isipokugusa hii, inayofuata lazima tu ikuguse!!!
 
Hawa watu wa Arusha hawana shukrani, wamesahau kama Profesa Magufuli ameifufua ile reli ya mkoloni iliyokuwa imekufa.

Na juzi kati mshakunaku polepole alikuja kumsifia master wake.
Hiyo nayo treni au ni makumbusho ya Taifa, watoto waone mkoloni alivojenga reli ya kuhamisha raslimali zetu. Labda wifanye kambi ya CCM ya kuandaa mapingamizi ya uchaguzi.
 
Bora hata angekuwaa anayala kistaarabu,anatafuna huku anaongea,mama unataka kupanuliwa wapi mama,huko mbelee...dah
Dah ile clip nilicheka sana, yaani utadhani jamaa aliyetokea interior huko asiyejua hata ustaarabu wa mjini, Meko kama sio kulindwa anaweza kuvua viatu akiiona lami.
 
Hawa watu wa Arusha hawana shukrani, wamesahau kama Profesa Magufuli ameifufua ile reli ya mkoloni iliyokuwa imekufa.

Na juzi kati mshakunaku polepole alikuja kumsifia master wake.
Reli alijenga mkoloni na bado akatimuliwa, ije kuwa huyu Pombe!!
 
Aongeze na Bunge live hapo... aondoe sheria kandamizi za habari..itakua kwio!
 
Kwa kuwa hashidi inabaki kuwa kelele tu
Sera siyo lazima zitekelezwe za aliyeshinda tu. 2015 alishinda JPM wa CCM, lakini sera nyingi za CDM zimebebwa na CCM. Moja tu katika nyingi ni ya Elimu bure, japo utekelezaji wake ni jambo linalohitaji mjadala mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…