Ngoja Kwanza tuangalie Afya za hawa Wasanii waliopata Ajali mbaya leo zinaendeleaje, Israeli akiwataka tutafanya akiwasamehe wala hatutofanya.
Wale wasanii walikuwa wakifanya mambo ya laana.
Alisema yeye kaletwa kwenye mkutano kw nguvu ili kuongeza idadi ya mahudhurio pia kasema yeye hana cha kusema kuhusu uchaguzi huu ila analazimishwa kuongea.
Nawasikia watu mara oh Lisu azungumzie sera, atafanya nini katika nyanja mbali mbali za kijamii etc! All this is rubbish kama hakuna UHURU! Lissu yuko sahihi, kitu cha kwanza ni ku- regain our FREEDOM IN ALL WALKS OF LIFE AMBAZO ZIMEVURUGWA/ ZIMEPOLWA NA UTAWALA WA AWAMU YA TANO! Haya ya sera na upuuzi wowote awe anarushia rushia tu!
Waamshe watu akili kuwa wanaonewa, wanadhulumiwa, wanateswa, wanapotezwa, wamenyang'anywa UHURU WAO na mengine. Baadaye rushia kidogo habari ya sera, atafanya nini wakimpa kura za kushinda.
Mandela na wenzake wapigania uhuru wote duniani, walipigania UHURU wao kwanza, kuhamasisha watu wajitambue kuwa hawako HURU, haya ya sera yalikuwa kidogo katika harakati zao!
Hakika hili Ni swali fikirishi, Tena ulitakiwa kuifanyia kuwa hoja inayo jitegemea, nzuri.Hivi Bunge la Tanzania linakubaliana na agenda za Magufuli au lina pitisha miswaada ya sheria?
Bunge ni kama sehem ya nguo ya Magu siku hizi, halisimami lenyewe. Na endapo akirudi tena ikulu, tutarajie mengi ya ajabu.Hivi Bunge la Tanzania linakubaliana na agenda za Magufuli au lina pitisha miswaada ya sheria?
Hivi Bunge la Tanzania linakubaliana na agenda za Magufuli au lina pitisha miswaada ya sheria?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akiwa KIBAHA jana, amesema ni USHAMBA RAISI NA MAWAZIRI KWENDA AIRPORT KUPOKEA NDEGE
UNAHAMISHA SERIKALI YOTE KWENDA AIRPORT KUPOKEA NDEGE NI USHAMBA NA WANATUCHEKA
Sent from my itel W5504 using JamiiForums mobile app
Wewe jibu hoja kila Mara nawaambia suala LA kuandika ni kipaji cha mtu angalia content,ndio maana waafrika mtazidi kuwa wa hivyo hivyo,unaangalia vitu vidogo sana,kuandika na kusoma ni vitu vya kufundishwa lakini upeo wa MTU haufundishwi ni mungu alivyoumba,hoja kuwa nimeandijaje hivyo haitakusaidia ndio maana kuna MTU ni muandisi nzuri,mwingine ni muongeaji mzuri mwingine ni mtendaji mzuri sasa kwa vile wewe ni zwazwa na tobolisu mwenzio ndio maana mnajadili MTU kujua kuongea lugha ya malkia ni usomi au kujua kupangilia maneno ni kujua jambo,lugha ni kiunganishi ndio maana kuwa viziwi na mabubu na bado wanawasiliana hivyo jaribu kusoma nilichoandika ukielewe kuna mengine ni ya typing inarusha lakini hoja imejibiwa dili na hill choko wewe.Kwa uandishi huu kama ndio barua yakuomba kazi haisomwi utaikuta kwenye shimo la taka.