Isingekuwa busara na huruma ya mh. Rais Magufuli waliofoji vyeti wote walitakiwa wawe jela.
Eti walipwe mafao, kufoji ni kosa la jinai. Chadema acheni kutetea wezi.
Yaani Watanzania hawajui kua kufoji ni kosa la Jinai,adhabu yake hadi 15yrs in Jail!!
 
Badala ya kumdiss Lissu ningependelea upande wa pii ujibu baadhi ya hoja zake kwa data and facts. Issue kama ya mikataba ni kitu muhimu usipo iweka wazi basi ni rahisi watu kuamini kuwa kuna upigaji. Tukumbuke matokeo na mchakato vyote ni muhimu na vyote vinatakiwa kwekwa wazi. Kwa mfano vyuo vikuu vinatoa wanafunzi uimara wao inategemea mchakato wanaopitia, sasa kama michakato ya vyuo iko gizani tusije tukalauminiana.
 
Jibu hoja. Kama haumwelewi Lissu basi wewe ni mbumbumbu. Lugha rahisi sana. Lissu ni zaidi ya mwalimu. Kama hautaki kuelewa hauwezi kulazimishwa kuelewa. Kama umesikiliza ujumbe umeupata.
Lissu aache kuongelea umbea jukwaani

Mwambieni yeye hagombei udiwani anagombea Urais
 
Kwani mikataba inabandikwa kwenye magazeti kama Lissu anavyotaka? Bunge ndio wananchi na wabunge huwa wanaiona maana sheria inasema inatakiwa kupelekwa bungeni.
 
Ana mambo ya kuchosha Sana

Eti, Mabarabara, yatajengwa tu!
Hospitali,Zitajengwa tu!
Vituo vya afya, vitajengwa tu!
Shule Zitajengwa Tu
Unajiuliza, Zitajengwa na Nani sasa? Zitajengwa bila mpango? hivi, anajua anachokiomba? Jamani, tusijidanganye, tuacheni unafki, Uraisi ni sehemu nyeti Sana, inahitaji mtu atwambie atafanya nini na nini akiwa Raisi, Kwa nini ameutaka Urais?
Kwa nini hatuelezi atatekelezaje ujenzi wa Taifa letu


Wakati wenye akili ya kiuongozi, husema hivi!!

Barabara kutoka sehemu Fulani kupita wapi mpaka sehemu Fulani, Nitajenga lipo kwenye ilani

Nyinyi hapa hamna umeme, ilani inao huo mpango wa kuleta umeme vijiji vyenu Vyote

Vituo vya afya eneo lenu hili, Temu hii mtapata vituo sita, shule hivyohivyo,

Sasa tujiulize, Mtu mwenye akili timamu, atamchagua Nani Kati ya hawa waeili, au ni Nani Bora Kati ya hao?

Tunamgombea Urais wa hovyohovyo Sana Temu hii
 
Nitajibu hoja gani kutoka kwa kuropoka uko
Jibu hoja. Kama haumwelewi Lissu basi wewe ni mbumbumbu. Lugha rahisi sana. Lissu ni zaidi ya mwalimu. Kama hautaki kuelewa hauwezi kulazimishwa kuelewa. Kama umesikiliza ujumbe umeupata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…