Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
The Greatest
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu kura yangu umepataKufutwa machozi na watu wanaotumiwa na Wazungu ?
Nani akuubali?
Sisi tupo na Rais Magufuli
Mbona meshadanganywa Sana na mmedanganya Sana na hoja za milioni hamsini Kila Kijiji na mtaa, computer kwa Kila mwalimu. Ke, huo siyo uongo na utapeli?Hoja nyepesi sana hizi, hatudanganyiki kindezindezi
Mbona meshadanganywa Sana na mmedanganya Sana na hoja za milioni hamsini Kila Kijiji na mtaa, computer kwa Kila mwalimu. Ke, huo siyo uongo na utapeli?Hoja nyepesi sana hizi, hatudanganyiki kindezindezi
Watanzania hatutamchagua mtu kisha aongoze nchi kupitia matamko ya kibeberu chake alichotoka nacho ughaibuni!Wewe na mke wako mpo na Magoo-fool lkn,sisi Watanzania wa mikoa yote,wilaya zote,Tarafa zote na Kata zote tupo na Rais wetu Lissu the Great... hatuwezi kuchagua matakataka mwaka huu!
Wewe na familia yako labda,usinijumuishe Mimi Wala kunisemeaKufutwa machozi na watu wanaotumiwa na Wazungu ?
Nani akuubali?
Sisi tupo na Rais Magufuli
Sisi au wewe na familia yako? Sisi Watanzania tuko na tunavuka na LissuKufutwa machozi na watu wanaotumiwa na Wazungu ?
Nani akuubali?
Sisi tupo na Rais Magufuli
Kuna yule kakata tamaa mpaka pumzi, Lissu habari nyingine imebidi jamaa aombe poo kidogo. "He is taking a breath"Maskini Mbona unaandika huku ukiwa umekata tamaa?
Yeye ndiye Rais ajaye, sasa unadhani atakuwa wapi?Tunataka baada ya uchaguzi Mgombea urais wa Chama cha Mbowe abaki hapa nchini, asitoroke!! Tunataka abaki hapa ashuhudie namna watanzania wanavyoimarisha nchi yao katika nyanja zote.
Kwa kuua watu sawa not otherwiseTunataka baada ya uchaguzi Mgombea urais wa Chama cha Mbowe abaki hapa nchini, asitoroke!! Tunataka abaki hapa ashuhudie namna watanzania wanavyoimarisha nchi yao katika nyanja zote.
Katika watu ambao wamezifunga akili zisiweze kujifunza vitu vipya na wewe pia ni miongoni mwao..Kufutwa machozi na watu wanaotumiwa na Wazungu ?
Nani akuubali?
Sisi tupo na Rais Magufuli
Hoja nyepesi sana hizi, hatudanganyiki kindezindezi
Mgombea urais aliyeemda mapumziko kwanzaNani aliyekataa tamaa ?
Nzito no zipi?Hoja nyepesi sana hizi, hatudanganyiki kindezindezi
Jisemee mwenyewe Mimi simo na sijakutuma!Kufutwa machozi na watu wanaotumiwa na Wazungu ?
Nani akuubali?
Sisi tupo na Rais Magufuli