Uchaguzi 2020 Ahadi na Sera za Tundu Lissu katika Uchaguzi Mkuu 2020
Ukiwa na uhakika na ushindi hupati kimuhe kimuhe
mkuu mbona mnapakaa mzee wa watu mafuta kwa mgongo wa chupa , kwa hali hii uhakika wa ushindi unatoka wapi? nyie ndo mmedanganya miaka mingi kwamba, tiyari mzee umemaliza kazi, na mbaya zaidi mzigo mkubwa mlimuachia yeye, mkipalilia vyeo wakati hamjengi chama , na mzee ni mtu wa maamuzi magum ngoja amuachie lissu nchi tuone mtajificha wapi, maana yeye kama yeye anakua ajapoteza kitu , taifa litaendelea kumtunza kama kiongozi wa kitaifa mstahafu , mwafaa
 
Bila kujali Uvyama Bali uhalisia wa nini mhusika amekua akikitetea, maono na ndoto ya nini hatima ya nchi yetu kiuchumi, kijamii na kisiasa huyu Mheshimiwa ameonyesha umahiri mkubwa kuelezea nini ataifanyia nchi hii. Nimemfuatilia kwa umakini wa hali ya juu sana. Ukitaka ujue ufahamu wa mtu muulize maswali kadha wa kadha, mpelekee hoja kadha wa kadha ujibuji wa maswali ni wa akili ya hali ya juu sana na ufafanuz wa Sera ni wa akili ya juu sana!!!. Naamini kwa nyakat hizi hakna mwandishi ambae anaweza mhoji au muulize huyu asipate majibu mujarabu na hakuna mwanasiasa akajipanga kwa hoja kumzidi huyu.

Kama kuna Mwanasiasa yeyote awe wa ACT ama CCM anaona anaweza pambana na Lissu kwa hoja ajitokeze aombe mdahalo tuone!
Ifike wakati tukubali ukweli huu. Watanzania wenzangu njooni tufanye siasa Safi ili kujenga nchi yetu. Tufanye siasa Safi kwa maendeleo ya nchi yetu. Vijana kwa wazee ni wakati sasa Wa kubadilika tuwape Uongozi watu wa namna ya Tundu Lissu!! Tusiogope mabadiliko!! Mungu ibariki Tanzania na watu wake!!


Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Bila kujali uvyama Bali uhalisia wa nini mhusika amekua akikitetea,maono na ndoto ya nini hatima ya nchi yetu kiuchumi,kijamii na kisiasa huyu Mheshimiwa ameonyesha umahiri mkubwa kuelezea nini ataifanyia nchi hii...

Huo ndio ukweli. Lissu ni zawadi yetu kutoka kwa Mungu. Aliandaliwa kupitia machungu makubwa ili aimarike Kama mchanga upitishwao kwenye tanuru la moto ili utoke humo dhahabu.
 
Mpaka sasa sijaona huo uspecial wa lisu mnaomsifia namuona ni mtu wa kawaida sana anayelalamika majukwaani tu.

Nasikia lawama na matusi na uchochezi, yaani bila kutukana wenzake hawezi kupata attention anayoitafuta.
 
Bila kujali uvyama Bali uhalisia wa nini mhusika amekua akikitetea,maono na ndoto ya nini hatima ya nchi yetu kiuchumi,kijamii na kisiasa huyu Mheshimiwa ameonyesha umahiri mkubwa kuelezea nini ataifanyia nchi hii. Nimemfuatilia kwa umakini wa hali ya juu sana.
Nimefuatilia siasa za nchi hii tangu kipindi cha Chama kimoja!

Napenda kusema kuwa tangu wapite Nyerere na Oscar Kambona, Tundu Lissu ndo mwanasiasa wa kipekee na mahiri zaidi kwa Tanzania ukiondoa hao watu wawili!

Sifa kuu zao hawa watu ni uwezo wa kipekee wa kujenga hoja na kutetea hoja zao, uwezo wa kushawishi kwa hoja na kubadiri fikra za watu kwa kupitia hoja!

Tangu Tanganyika then Tanzania upate Uhuru sifa hizi wanazo wanasiasa 3 tu nao ni Mwl Nyerere, Oscar Kambona na Tundu Antiphas Lissu!
 
Mpaka sasa sijaona huo uspecial wa lisu mnaomsifia namuona ni mtu wa kawaida sana anayelalamika majukwaani tu.

Nasikia lawama na matusi na uchochezi, yaani bila kutukana wenzake hawezi kupata attention anayoitafuta.
Mh. Pombe au? Maana ndiye bingwa wa matusi
 
Nimefuatilia siasa za nchi hii tangu kipindi cha Chama kimoja!!

Napenda kusema kuwa tangu wapite Nyerere na Oscar Kambona, Tundu Lissu ndo mwanasiasa wa kipekee na mahiri zaidi kwa Tanzania ukiondoa hao watu wawili
Huu ni ukweli mchungu kwa watu fulani hasa wasio wazalendo wanaoonysha uvyama badala ya uhalisia!!Hiki ni kichwa watake wasitake!!nmesema kama kuna mtu anabisha aombe akae na machine hii kweny jukwaa lazma atakimbiaa!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom