Ni yeye hawezi kuwa rais. Mwambieni aandae kabisa mabegi ya kurudi kwa beberu wake ubelgiji baada ya oktoba
[emoji23][emoji23][emoji111][emoji111]. NDOTO IKIISHA UKUMBUKE KUTANDIKA KITANDA.


 
Lowasa na Slaa wakiona haka kaposti kako watakudharau sana!

Hilo ni tone kwenye mafuriko ya Lowasa na Slaa kabla ya wamiliki wa chadema kuiuza
Au sio?[emoji23][emoji23][emoji111][emoji111]
 
Isingekuwa busara na huruma ya mh. Rais Magufuli waliofoji vyeti wote walitakiwa wawe jela.
Eti walipwe mafao, kufoji ni kosa la jinai. Chadema acheni kutetea wezi.
Hata akina Babu Seya nao walikuwa na makosa vile vile lkn walipewa msamaha.
 
Kwa mujibu wa ilani yao chama cha mzee wa Ubelgiji ukurasa wa 84 ; wanasema wataweka BOND mbuga za wanyama, bandari, viwanja vya ndege bila kusahau ARDHI.

Kuna Changamoto kubwa ya uthaminishaji wa bidhaa za madini na maliasili nyingine.Nawaza sanaaa twiga zikianza Kupanda ndege tenaaa.

Kwenye Ilani sijapata jibu sahihi kuhusu ulinzi wa maliasili,. Madini, ardhi na Maziwa na Baharii... Siamini saanaaa kweny Sera ya Mabepari kuweka dhamana Maliasili, kwa Riba wanayopenda Wazungu... No free lunch at all
 
Wasalaam
Mgombea mwenza wa chadema Ndugu Salum Mwalimu mwenye Phd ya mambo ya usafiri ameendelea kuzunguka huko moshi akikinadi chama na kuendelea kuwashangaza walio wengi kwani baadhi ya matamshi yake yanawachanganya watu na kushindwa kujua upi ni msimamo wa chama?
Salum Mwalimu leo amekaririwa akisema watanzania wote kuanzia watoto na kila rika watapatiwa pass port bure(hati ya kusafiria) lakini hili jambo limefanya wanao msikiliza wajiulize nini msimamo wa chama?
Watu bado wanajiuliza hizo hati za kusafiria watanzania watakwenda nazo wapi na kwakutumia usafiri upi ikiwa chadema na mgombea wao bwana Lissu wanapinga uwepo wa ndege? hizo pass port tutakwenda nazo morogoro? pass port tutakuwa tunazitumia kwenda nazo singida? au tutazitumia kwenda machame?

Bado watu wanajiuliuza tutapanda nazo bajaji au baiskeli ukizingatia chama na mgombea wake wanapinga uwepo wa ndege na kuna uwezekano wakiingia tuu watauza ndge zote? au tutazitumia kufanya nini?


Wasalaam
 
Weka ushabiki pembeni hiyo hoja ya mwalimu inamashiko?
Ina mashiko Sana. Hati ya kusafiria inabidi uwe nayo Kama unavyosema kuwa na vitambulisho vingine. Vya kura, uraia, bima, kazi nk. Siku ukipata Safari inayohitaji utumie passport ndo utajua umuhimu wake.
 
Hahaha ccm hata vyeti vya kuzaliwa wao wanataka watoe kwa uvcc a.k.a JESHI LA AKIBA tu.

Wakija utasikia cheti cha kuzaliwa cha nini kila mtanzania?!

Bashiru aliwaambia muwe mnajihu hoja sio kuanzisha nyuzi kama hizi?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…