[emoji23][emoji23][emoji111][emoji111]. NDOTO IKIISHA UKUMBUKE KUTANDIKA KITANDA.Ni yeye hawezi kuwa rais. Mwambieni aandae kabisa mabegi ya kurudi kwa beberu wake ubelgiji baada ya oktoba
Lowasa na Slaa wakiona haka kaposti kako watakudharau sana![emoji23][emoji23][emoji111][emoji111]. NDOTO IKIISHA UKUMBUKE KUTANDIKA KITANDA.
View attachment 1571165
Au sio?[emoji23][emoji23][emoji111][emoji111]Lowasa na Slaa wakiona haka kaposti kako watakudharau sana!
Hilo ni tone kwenye mafuriko ya Lowasa na Slaa kabla ya wamiliki wa chadema kuiuza
Hata akina Babu Seya nao walikuwa na makosa vile vile lkn walipewa msamaha.Isingekuwa busara na huruma ya mh. Rais Magufuli waliofoji vyeti wote walitakiwa wawe jela.
Eti walipwe mafao, kufoji ni kosa la jinai. Chadema acheni kutetea wezi.
Comrade hoja yako ni ipi hapa?Hata akina Babu Seya nao walikuwa na makosa vile vile lkn walipewa msamaha.
Una watoto au ni binti kijanaNi yeye hawezi kuwa rais. Mwambieni aandae kabisa mabegi ya kurudi kwa beberu wake ubelgiji baada ya oktoba
Siwezi kukuoa mimi nlishaoa tafadhaliUna watoto au ni binti kijana
Wasafi imeshatoka kifungoni?Chadema wanajichanganya wao wenyewe
Weka ushabiki pembeni hiyo hoja ya mwalimu inamashiko?Hati ya kusafiria ni haki ya kila raia. Atasafiri au la huo ni uamizi wake.
Muulize diamond ndio boss wao ana majibuWasafi imeshatoka kifungoni?
CCM ni kiboko aisee.,nyoosha sijui wasafi/wachafu haina muda.Muulize diamond ndio boss wao ana majibu
Ina mashiko Sana. Hati ya kusafiria inabidi uwe nayo Kama unavyosema kuwa na vitambulisho vingine. Vya kura, uraia, bima, kazi nk. Siku ukipata Safari inayohitaji utumie passport ndo utajua umuhimu wake.Weka ushabiki pembeni hiyo hoja ya mwalimu inamashiko?