Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The BEST explanationAnawasilisha sera kwa weledi sana hata mtu asie na elimu ya darasa la saba anaelewa kwanza anataja tatizo, kisha limesababishwa na nani, kisha madhara yake, kisha yeye atafanya nini kulitatua aina hii ya uwasilishaji CCM hawakuuzoe ndo maana wanaona kama anatukana lakini wakiulizwa taja matusi aliyotukana hawana majibu hivyo kumfanya lisu awe tofauti na mgombea yeyote tangu tupate uhuru.
Lissu huwezi mfananisha na Dr. Slaa wala Lowasa. Labda kawazidi porojo na matusi tu, wale wazee walijikita kwenye hoja na nyingi za hizo hoja jembe JPM kazifanyia kazi kisawasawa.wanabodi,
Ukiangalia namna ambavyo upinzani ulitikiswa katika miaka hii mitano, ile hama hama ya baadhi ya viongozi wa upinzani yaaani kuunga mkono juhudi nk.
Kukosekana kwa kufanya mikutano ya siasa kwa vyama.
Utanielewa niyasemayo.
Niishie hapa...
Mkuu ukisoma vema mistari yangu utaelewa kwanini Lissu kawazidi, hii miaka mitano imekuwa migumu sana, lakini ujio wake umekuwa gumzo. What if vyama vyote vingefanya siasa katika uwanja fair kwa hii miaka?Sijui amewazidi Nini maana kwa Nyomi Lowasa alifunika. Nakumbuka mlikuwa mnasema Mafuriko
Kwa Sera huwezi kumfananisha Lissu na Daktari Msomi Slaa itakuwa Matusi sasa.
Issue sio Lissu au Lowasa tu bali ni watu na mawazo yao juu ya hali ilivo ukimhusisha mtu.Sijui amewazidi Nini maana kwa Nyomi Lowasa alifunika... Nakumbuka mlikuwa mnasema Mafuriko,
Kwa Sera huwezi kumfananisha Lissu na Daktari Msomi Slaa itakuwa Matusi sasa
Impact yake unaionaje?Huyu huyu lisu mzee wa kiki na miujiza
Hapa makambako hakuna alichuhutubia zaidi ya kulialia na kulaum, halafu akatuachia mweleka wa jukwaani, halafu akasepa zake.
Funguka mkuu...Lissu ni mfupa mgumu sana kwanza ana spirit ya hatari sana
Mkuu kipindi hiki hakukuwa na misamiati kama ya KUUNGA MKONO JUHUDI, WASIOJULIKANA, N.K
Anaimpact gani, mtu wenu akipata ata kura elfu kumi atakua ameshinda. ccm hatuna jimbo lakupoteza mkae mkijuaa.Impact yake unaionaje?
Kwa utawala huu tulio nao. Lissu anafaa , haogopi mtu wala taasisi yoyote inayoenda kinyume.Sijui amewazidi Nini maana kwa Nyomi Lowasa alifunika. Nakumbuka mlikuwa mnasema Mafuriko
Kwa Sera huwezi kumfananisha Lissu na Daktari Msomi Slaa itakuwa Matusi sasa.
Tangu lini wakaelewa?Mkuu ukisoma vema mistari yangu utaelewa kwanini Lissu kawazidi, hii miaka mitano imekuwa migumu sana, lakini ujio wake umekuwa gumzo. What if vyama vyote vingefanya siasa katika uwanja fair kwa hii miaka?
Mkuu nawe unaamini Ccm ilipata 58% ?!. Sema walitangazwa
Ni kweli.. awamu hii ni zaidi ya ukoloni asiliaWanabodi,
Ukiangalia namna ambavyo upinzani ulitikiswa katika miaka hii mitano, ile hama hama ya baadhi ya viongozi wa upinzani yaaani kuunga mkono juhudi nk.
Kukosekana kwa kufanya mikutano ya siasa kwa vyama.
Utanielewa niyasemayo.
Niishie hapa.