Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 998
Kwani mweleka wa lisu makambako, kuushudia mpaka uwemwana ccm??Wewe ni ccm bila shaka. Huwezi kutoa a balanced view of what happened. Hivyo wewe ni wa kupuuzwa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mweleka wa lisu makambako, kuushudia mpaka uwemwana ccm??Wewe ni ccm bila shaka. Huwezi kutoa a balanced view of what happened. Hivyo wewe ni wa kupuuzwa tu.
Ungeanza kutuambia izo elfu 20 mnazikusanya chini ya sheria gani na zinaenda mfuko upi wa serikali??? Na huwa mnazitumiq kwenye shughuli gani??? Kuliko kuleta ujinga wako!Wasalaam wana jamvi!
Kampeni za uchaguzi zimeendelea kupambana moto huku kila mgombea akiendelea kutoa ahadi zake kwa wananchi endapo atapewa ridhaa!
Jana Tundu Lissu akiwa mbeya mjini na Tunduma ameendelea kutoa ahadi ambazo kila aliye hudhuria amemuona ni kitukp cha kutupa hahahaha
Kwanza Lissu amewambia wamachinga kuwa wakimchagua hawatolipa hela ya vitambulisho wala ushuru wowote maana yake watafanya biashara bila kulipa chochote mahali popote!
Hivi kweli kuna nchi inayo endeshwa bila kodi? Sasa pesa za elimu bure hadi chuo kikuu atazipata wapi? Pesa za bima afya kwa wote tena bure atazipata wapi ikiwa watu watafanya biashara bure?
Kwakweli ukimsikiliza Lissu unaweza ukapata jibu kwanini watu aina yake huwa hawagusi ikulu na wanabaki tuu kwenye harakati....
Kweli machinga wafanye biashara bure?
Hahahaha
Kwenye hiyo point Lissu ametudanganyaUngeanza kutuambia izo elfu 20 mnazikusanya chini ya sheria gani na zinaenda mfuko upi wa serikali??? Na huwa mnazitumiq kwenye shughuli gani??? Kuliko kuleta ujinga wako!
Kwani hizo elfu ishirini mnazikusanya huwa mnapeleka wapi??? Au ndo hizi Ccm mnatumia kwenye kampeni sasaivi???Kwenye hiyo point Lissu ametudanganya
Ndio pesa wanazotumia kwenye kampeni zao ccm, na yale maburungutu ya pesa aliyokuwa anagawa barabarani unadhani yanatoka wapi?!Ungeanza kutuambia izo elfu 20 mnazikusanya chini ya sheria gani na zinaenda mfuko upi wa serikali??? Na huwa mnazitumiq kwenye shughuli gani??? Kuliko kuleta ujinga wako!
Alafu kumbe Wewe na Ruttashobolwa ni mtu yuleyule???😂😂😂😂Kwenye hiyo point Lissu ametudanganya
Magu anajifanya ana akili sana kumbe watu tunamchora tu!! Huyu mzee ni mwizi sana aiseeNdio pesa wanazotumia kwenye kampeni zao ccm, na yale maburungutu ya pesa aliyokuwa anagawa barabarani unadhani yanatoka wapi?!
Makao makuu yanaweza kuwa mkoa wowote nchini, mimi nikiwa rais nitapeleka makao makuu mkoa wa Mara.Wakiungana Lisu na mzee wa Ubwabwa inakua Taifa la majuha.
sijamsikia jamaa akizungumzia kurejesha makao makuu ya Nchi Dar es salaam toka Dodoma,
CCM yote majizi tu, ndoyo maana husikii yakihubiri haki!Magu anajifanya ana akili sana kumbe watu tunamchora tu!! Huyu mzee ni mwizi sana aisee
Mmeishiwa hoja mnakuja na viroja!! Semeni elfu 20 mnazopora wamachinga mnapeleka wapi??? Na lazima Raisi Lissu amtume CAG kukagua. Si mnajifanya wezi sana nyie nzi wa kijani??Huyu jamaa anafikiri pesa alizoahidiwa Brussels zitaendesha nchi
Pesa zinazokusanywa kutoka kwa machinga kwa mwaka ni kiasi gani?Tuanzie hapo!Wasalaam wana jamvi!
Kampeni za uchaguzi zimeendelea kupambana moto huku kila mgombea akiendelea kutoa ahadi zake kwa wananchi endapo atapewa ridhaa!
Jana Tundu Lissu akiwa mbeya mjini na Tunduma ameendelea kutoa ahadi ambazo kila aliye hudhuria amemuona ni kitukp cha kutupa hahahaha
Kwanza Lissu amewambia wamachinga kuwa wakimchagua hawatolipa hela ya vitambulisho wala ushuru wowote maana yake watafanya biashara bila kulipa chochote mahali popote!
Hivi kweli kuna nchi inayo endeshwa bila kodi? Sasa pesa za elimu bure hadi chuo kikuu atazipata wapi? Pesa za bima afya kwa wote tena bure atazipata wapi ikiwa watu watafanya biashara bure?
Kwakweli ukimsikiliza Lissu unaweza ukapata jibu kwanini watu aina yake huwa hawagusi ikulu na wanabaki tuu kwenye harakati....
Kweli machinga wafanye biashara bure?
Hahahaha
Delete ccm Oct 28Wasalaam wana jamvi!
Kampeni za uchaguzi zimeendelea kupambana moto huku kila mgombea akiendelea kutoa ahadi zake kwa wananchi endapo atapewa ridhaa!
Jana Tundu Lissu akiwa mbeya mjini na Tunduma ameendelea kutoa ahadi ambazo kila aliye hudhuria amemuona ni kitukp cha kutupa hahahaha
Kwanza Lissu amewambia wamachinga kuwa wakimchagua hawatolipa hela ya vitambulisho wala ushuru wowote maana yake watafanya biashara bila kulipa chochote mahali popote!
Hivi kweli kuna nchi inayo endeshwa bila kodi? Sasa pesa za elimu bure hadi chuo kikuu atazipata wapi? Pesa za bima afya kwa wote tena bure atazipata wapi ikiwa watu watafanya biashara bure?
Kwakweli ukimsikiliza Lissu unaweza ukapata jibu kwanini watu aina yake huwa hawagusi ikulu na wanabaki tuu kwenye harakati....
Kweli machinga wafanye biashara bure?
Hahahaha
Nchi ni tajiri mzee,kodi ni lazima kuna mianyaa mingi ya kubanaWasalaam wana jamvi!
Kampeni za uchaguzi zimeendelea kupambana moto huku kila mgombea akiendelea kutoa ahadi zake kwa wananchi endapo atapewa ridhaa!
Jana Tundu Lissu akiwa mbeya mjini na Tunduma ameendelea kutoa ahadi ambazo kila aliye hudhuria amemuona ni kitukp cha kutupa hahahaha
Kwanza Lissu amewambia wamachinga kuwa wakimchagua hawatolipa hela ya vitambulisho wala ushuru wowote maana yake watafanya biashara bila kulipa chochote mahali popote!
Hivi kweli kuna nchi inayo endeshwa bila kodi? Sasa pesa za elimu bure hadi chuo kikuu atazipata wapi? Pesa za bima afya kwa wote tena bure atazipata wapi ikiwa watu watafanya biashara bure?
Kwakweli ukimsikiliza Lissu unaweza ukapata jibu kwanini watu aina yake huwa hawagusi ikulu na wanabaki tuu kwenye harakati....
Kweli machinga wafanye biashara bure?
Hahahaha
Tatizo lako ni kwamba umefungwa uelewa na mfumo duni wa kiutawala. Tuache mifano ya Ulaya na America.Wasalaam wana jamvi!
Kampeni za uchaguzi zimeendelea kupambana moto huku kila mgombea akiendelea kutoa ahadi zake kwa wananchi endapo atapewa ridhaa!
Jana Tundu Lissu akiwa mbeya mjini na Tunduma ameendelea kutoa ahadi ambazo kila aliye hudhuria amemuona ni kitukp cha kutupa hahahaha
Kwanza Lissu amewambia wamachinga kuwa wakimchagua hawatolipa hela ya vitambulisho wala ushuru wowote maana yake watafanya biashara bila kulipa chochote mahali popote!
Hivi kweli kuna nchi inayo endeshwa bila kodi? Sasa pesa za elimu bure hadi chuo kikuu atazipata wapi? Pesa za bima afya kwa wote tena bure atazipata wapi ikiwa watu watafanya biashara bure?
Kwakweli ukimsikiliza Lissu unaweza ukapata jibu kwanini watu aina yake huwa hawagusi ikulu na wanabaki tuu kwenye harakati....
Kweli machinga wafanye biashara bure?
Hahahaha
Wasalaam wana jamvi!
Kampeni za uchaguzi zimeendelea kupambana moto huku kila mgombea akiendelea kutoa ahadi zake kwa wananchi endapo atapewa ridhaa!
Jana Tundu Lissu akiwa mbeya mjini na Tunduma ameendelea kutoa ahadi ambazo kila aliye hudhuria amemuona ni kitukp cha kutupa hahahaha
Kwanza Lissu amewambia wamachinga kuwa wakimchagua hawatolipa hela ya vitambulisho wala ushuru wowote maana yake watafanya biashara bila kulipa chochote mahali popote!
Hivi kweli kuna nchi inayo endeshwa bila kodi? Sasa pesa za elimu bure hadi chuo kikuu atazipata wapi? Pesa za bima afya kwa wote tena bure atazipata wapi ikiwa watu watafanya biashara bure?
Kwakweli ukimsikiliza Lissu unaweza ukapata jibu kwanini watu aina yake huwa hawagusi ikulu na wanabaki tuu kwenye harakati....
Kweli machinga wafanye biashara bure?
Hahahaha
Executive order ya rais ni sheria. Rais anayewapenda wamachinga alitoa amri wasilipishwe ushuru uliokuwa unawapa kero. Kulipa mia tano kila siku na kulipa 20000 kwa mwaka kipi bora?Ungeanza kutuambia izo elfu 20 mnazikusanya chini ya sheria gani na zinaenda mfuko upi wa serikali??? Na huwa mnazitumiq kwenye shughuli gani??? Kuliko kuleta ujinga wako!