Interested Observer
JF-Expert Member
- Mar 27, 2006
- 3,384
- 4,428
Kwa hiyo wewe unaona afadhali Wachina wapewe kuliko wa Tanzania (wazawa)? You are a sale-outHatuko tayari kuruhusu madiri yarudi tena. Hatuko tayari kuona makandarasi makanjanja wanapewa tenda kubwa halafu zinaishia njia na hela wamepiga. Hatuko tayari kuona wake wa maofisa wa serikali wanafungua steshionary feki na kuuzia karam moja tsh 5000 . Hatuko tayari kuona tena wake wawakubwa ndio wasambaza chai ya rangi kwenye maofisi ya uma huku wakiuza kikombe chai ya rangi tsh 5000 na kitumbua cha mia moja wao wanauza tsh 2000 . Hatuko tayari kuona utapeli wakula fedha bila mipangilio unarudia tena. Big up Magufuli, God bless you.
Barabara za mitaani, ambazo wazawa wanauwezo wa kuzijenga wanapewa Wachina?Kwa hiyo wewe unaona afadhali Wachina wapewe kuliko wa Tanzania (wazawa)? You are a sale-out
Mfano mdogo tu ni mradi wa DMDP, umeboresha barabara za mitaani Temeke. Mitaa ya uswahilini kama Yombo. Hizi ni za kumpa mchina ajenge badala ya mzawa?"Eleza jinsi wachina wanavyopewa kandarasi ambazo hata wazawa wanaweza kuzifanya,sasa mzunguko wa pesa haupo,sababu wakilipwa pesa zinaenda China. Ila wazawa hawapewi hizi kazi wakati wanao huo uwezo kuzifanya."
Nini maoni yako?Ng'ombe wanakamuliwa bila malisho mazuri ama bila malisho hadi wanakufa
Hivi ubongo wako upo sawa? Nani kasema kujiajilri ni kuiba mali ya umma? Serikali haiwezi kufanya kila kitu yenyewe tambua hilo. Ndio maana ya kuwa na serikali ambayo lazima ishirikiane na sekta binafsi.KWANI KUJIAJIRI NI KUIBA NA KUHUJUMU MALI ZA UMAA?? hovyo kabisaa
No revolving fundsNini maoni yako?
Yote haya yamefanyika chini ya usimamizi wa Serikali dhaifu, dhalimu, za kijambazi, za CCM miaka yote. SASA CCM imebadilika lini? Huko tayari kwa lipi? Mbona unajikanyaga kijinga? Ondoa liCCM madarakani likafe Kama KANU tuingize new mentality and new philosophy.Hatuko tayari kuruhusu madiri yarudi tena. Hatuko tayari kuona makandarasi makanjanja wanapewa tenda kubwa halafu zinaishia njia na hela wamepiga. Hatuko tayari kuona wake wa maofisa wa serikali wanafungua steshionary feki na kuuzia karam moja tsh 5000 . Hatuko tayari kuona tena wake wawakubwa ndio wasambaza chai ya rangi kwenye maofisi ya uma huku wakiuza kikombe chai ya rangi tsh 5000 na kitumbua cha mia moja wao wanauza tsh 2000 . Hatuko tayari kuona utapeli wakula fedha bila mipangilio unarudia tena. Big up Magufuli, God bless you.
Mama lishe gani ambae yuko hoi? Maana sikuiziii umeona mgambo wa kumwaga vyakula vya mama lishee??? Mama lishe sikuizi wanapika vyakula adi barabarani, wala hakuna wakuwaulizia ata kidogo. Acha uvivuuu fanya kaziiii.Vijiwe gani unavyosema? Mama lishe wako hoi,wengi wamefunga biashara. Maduka yamefunga biashara,machinga wana hali ngumu. Acha kuishi maisha ya kwenye mitandao ingia mitaani uone kwa macho yako.
Kama JPM amedhibiti bei ambazo watu walikuwa wanajipangia anashindwa vipi kuangalia manunuzi yafanyike kwa uhalali hivi sasa?
Hatuko tayari kuruhusu madiri yarudi tena. Hatuko tayari kuona makandarasi makanjanja wanapewa tenda kubwa halafu zinaishia njia na hela wamepiga. Hatuko tayari kuona wake wa maofisa wa serikali wanafungua steshionary feki na kuuzia karam moja tsh 5000 . Hatuko tayari kuona tena wake wawakubwa ndio wasambaza chai ya rangi kwenye maofisi ya uma huku wakiuza kikombe chai ya rangi tsh 5000 na kitumbua cha mia moja wao wanauza tsh 2000 . Hatuko tayari kuona utapeli wakula fedha bila mipangilio unarudia tena. Big up Magufuli, God bless you.
Nani mmiliki wa mayanga contractorsMama lishe gani ambae yuko hoi? Maana sikuiziii umeona mgambo wa kumwaga vyakula vya mama lishee??? Mama lishe sikuizi wanapika vyakula adi barabarani, wala hakuna wakuwaulizia ata kidogo. Acha uvivuuu fanya kaziiii.
Kwani bado baba yako anafanya ufisadii?? Kwani bado mama yako anauza chai kwenye ofisi ile aliko ajiriwa kikombe cha chai yangi tsh 5000? Kwani bado kaka yako anaendesha kampuni feki??
Mutajeee na taja ufisadi wakeeeeNani mmiliki wa mayanga contractors
Wewe endelea kutafakari. Kwani madiri unayoyasema mjomba wako Magu so ndiyo amayapaisha maradufu! Uwanja wa Chato siyo dili? Mayanga constructors siyo dili! Upotevu wa 1.5 trioni (sasa ni 2.4 trioni) siyo dili? Jesca kuwa DAS siyo upendeleo Kama zamani? Mawaziri wengi kutoka Geita siyo upendeleo? Mtoto wa Dada kuwa Paymaster General je? nk. nk. Kichwa chako kisiwe mzigo , kifikirishe. Tatizo ni system zima imeoza. Futa hii Serikali tuanze upya.
Ameshagundua hali ni mbayaKupindua matokeo? Kwani matokeo yapoje?
Hatari sana kwamba Mafisadi hawahatarishi usalama wa nchi?Safi kabisaa, kwnz uelewe kwmb mafisadi hawahatarishi usalama wa taifa letu, ila hao wengine wote uliowataja walikuwa kiruc kwa Nchi yetu ndo maana wale ambao wamepata bahati ya kuwekwa mahabusu wapo huko. Ila hao wengine hutokuja uwaone kwa sababu hawajapotea kwa bahati mbaya. Hata hao wa kwny viroba tuliamua kuwahifadhi kwa njia hiyo ili Tz iendelee kubaki salama,, haya mambo yanafanyika nchi nyingi sana siyo tu hapa kwetu kwa watu ambao ni hatar kwa usalama wa taifa.Ila kwa sababu huyajui haya mambo, utaishia kupiga kelele tu kaka lkn serikali itaendelea kuchkua hatua stahk ili wewe na familia yko muendelee kuwa salama.
Acha maswali ya kitoto.Kupindua matokeo? Kwani matokeo yapoje?