Safi kabisaa, kwnz uelewe kwmb mafisadi hawahatarishi usalama wa taifa letu, ila hao wengine wote uliowataja walikuwa kiruc kwa Nchi yetu ndo maana wale ambao wamepata bahati ya kuwekwa mahabusu wapo huko. Ila hao wengine hutokuja uwaone kwa sababu hawajapotea kwa bahati mbaya. Hata hao wa kwny viroba tuliamua kuwahifadhi kwa njia hiyo ili Tz iendelee kubaki salama,, haya mambo yanafanyika nchi nyingi sana siyo tu hapa kwetu kwa watu ambao ni hatar kwa usalama wa taifa.Ila kwa sababu huyajui haya mambo, utaishia kupiga kelele tu kaka lkn serikali itaendelea kuchkua hatua stahk ili wewe na familia yko muendelee kuwa salama.