Jina lako lasadifu hoja yako. Abdulhamis maana yake ni mja wa Hamis (mja wa mwanadamu)...badala ya kujiita mja wa mungu mfano Abdulrahman, Abdilbar n.k. wewe umependa ujulikane kuwa ni mja wa mwanadamu.
 

Badala mdeal na Hoja za maana mnaanza kuleta upumbavu... mtataftiza sana viroja vya kubomoa HOJA KONKI toka kwa mwanasheria msomi mwenye akili zake aliepita special schools toka olevel lakini hamta weza kwa kuwa nyie ni vilaza tu pum**bav zenu
 
Badala mdeal na Hoja za maana mnaanza kuleta upumbavu... mtataftiza sana viroja vya kubomoa HOJA KONKI toka kwa mwanasheria msomi mwenye akili zake aliepita special schools toka olevel lakini hamta weza kwa kuwa nyie ni vilaza tu pum**bav zenu
Kwaio hoja ya kod sio ya maana kwenu chadem
 
Kama anadanganya kuhusu reli, kipi kitamfanya aongee ukweli kuhusu serikali ya majimbo?
 
Kwan alie amua mbowe achukuliwe ndege aende Dar kufungwa hogo kwenye mguu ulio teguka ni Nan??? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Bajeti ya Ndugai kutibiwa India ni sawa na 20% ya bajeti iliyopelekwa kwenye wizara ya kilimo!Ndugai ndio mgonjwa ghali zaidi duniani kwa sasa!
 
Halafu na nyinyi muwe na akili zenu,sii mkisikia jiwe kasema hili nanyi mnalibeba hivyo hivyo!
 
Kodi ni lazima kulipa na michango ni hiari.

Hivi ni kweli Tanzania ina watu ni wajinga kiasi hiki hata kushindwa kutofautisha hayo mawili?

Halafu nioneshe ni wapi Tundu Lissu kasema atafuta kodi.
 
"Analaumu kwa ukusanyaji kodi mwingi" acha upotoshaji kama wa kupinga serikali kununua ndege, mnapotosha na kusema kasema matumizi ya ndege hayana maana!! Hoja ni serikali kununua midege mingi badala ya kuwaachia watu binafsi, mtapotosha sana kauli za mwenzenu ila watz wanamuelewa.
 
Jinga jingine la CCM haliwezi hata kutenganisha kati ya kodi na mchango kwake vyote ni kodi tu hajui hata kodi ziko nyingi na aina nyingi hadi kufanya walipaji kukwepa kulipa kwa sababu siyo rafiki. Kiongozi mzuri atapunguza kodi ziwe rafiki kwa mlipaji ili wengi wavutiwe kulipa bila shuruti makusanyo ya mapato ya Serikali yataongezeka. Mtu akikwita wewe ni CCM atakuwa amekutukana tusi la nguoni!
 
Kama umesoma angalau kidato cha nne basi unawadhalilisha wale walimu wako waliokufundisha kale kasomo ka civics!
 
Embu tuambie utofaut wa kodi na mchango kwa mtoaji na mpokeaji pia Na kazi ya mchango na kod utofaut wake [emoji1787]
 
Siasa zinazofanywa na wagombea wa CHADEMA na ACT ni kithibitisho tosha kuwa hawafai! hawafai! kukabidhiwa nafasi za uongozi

All in all CCM wazidi kukaza buti Tanzania isije tumbukia mikononi mwa hao walaghai
 
Ni kwa sababu serikali INA makampuni yake sasa Chadema hamtaki serikali iwe na kampuni zake ikijenga SGR ili ziingize kodi hamtaki iijenga bwawa LA umee stigler ili iuze hamtaki serikali ikinunua ndege hamtaki sasa mkiondoa kodi nchi mtaendeshaje
 
Lissu hajielewi nadhani lile shambulizi lilimuathiri hadi kichwani sema madaktari hawakujiongeza wamcheki
 
Wajomba zangu hamjambo!

Najisikia furaha sana kuwa wanachadema tangu Jana, lakini kura yangu Siku nyingi nilishaielekeza kwa JPM.

Nirudi kwenye heading yangu kuwa CHADEMA ni chama kilichosheheni wasomi watengeneza propaganda zinazojifia maporini tu hivyo usomi wao waonekana na ni vilaza tu.

Wasomi wa CHADEMA walishindwa kutoa ushauri mzuri kutengeneza ilani nzuri na kumshauri mgombe wa urais atembee na ilani hiyo na siyo kuropoka yasiyo ya msingi na namna nzuri ya kukijenga chama.

Imekuwa kila kukicha ni uzushi utadhani wapiga kura wote ni wana CHADEMA.

CHADEMA walitengeneza propaganda za kumpaisha kachero mbobezi lakini hawako naye tena mitandaoni.

KESHO NARUDI NYUMBANI KWETU.
 
Sikushangai maana waliokuwa chadema halisi walikua na lengo la kuhakikisha Tanzania inakuwa na maendeleo huku ikipinga vitendo kama rushwa na ubadhilifu.

Hii ya sasa imekuwa ya wapiga tarumbeta na kupinga kila jema hata unajiuliza ni watanzania gani hawa wanaona fahari kupinga maendeleo hadharini kiukweli bado na staajabu sana.

Mboe inabidi afanye recruitment upya maana chama kinaelekea kubaya kutoka kuvutia wanazuoni na wanataaluma hadi kuvutia wafanya fujo na wapingagi ni hali ya kutisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…